cookie

نحن نستخدم ملفات تعريف الارتباط لتحسين تجربة التصفح الخاصة بك. بالنقر على "قبول الكل"، أنت توافق على استخدام ملفات تعريف الارتباط.

avatar

Swahili News

🐾

إظهار المزيد
مشاركات الإعلانات
3 413
المشتركون
+924 ساعات
+607 أيام
+31130 أيام

جاري تحميل البيانات...

معدل نمو المشترك

جاري تحميل البيانات...

01:27
Video unavailableShow in Telegram
@HabariTz ✰✰✰ Mrengo wa kushoto washinda uchaguzi wa bunge France – DW – 07.07.2024 (1) Muungano wa vyama vya mrengo wa kushoto ulioundwa kabla ya uchaguzi wa mapema wa France umeshinda viti vingi zaidi katika duru ya pili huku chama cha mrengo mkali wa kulia cha National Rally kikiambulia nafasi ya tatu.
إظهار الكل...
mrengo_wa_kushoto_washinda_uchaguzi_wa_bunge_france_dw_07_07.mp426.43 MB
04:24
Video unavailableShow in Telegram
@HabariTz ✰✰✰ MBOSSO ageuka MBOGO baada ya kuchanwa na MBONGO wa CANADA kuwa yeye na RAY VANNY wamewaletea NYODO Tembelea https://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
إظهار الكل...
mbosso_ageuka_mbogo_baada_ya_kuchanwa_na_mbongo_wa_canada_kuwa_y.mp49.39 MB
08:39
Video unavailableShow in Telegram
@HabariTz ✰✰✰ WACHAWI WEUSI |Episode 41| #fullepisode #viralvideo #clamvevo #episode34 #kobe #cartoon #mpembacomedy #swahilianimation #comedy
إظهار الكل...
wachawi_weusi_episode_41_5dvdfn7j_0w_c834bbb4.mp410.86 MB
millardayo Benki ya NMB (@nmbtanzania) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Comoro ikiwa ni dhamira ya benki hiyo kuongeza kiwango cha biashara kati ya Nchi hizo mbili. Akiongea wakati wa maadhimisho ya miaka 49 ya Uhuru wa Nchi ya Comoros iliyoandaliwa na Ubalozi wa Comoro nchini Tanzania kwa udhamini wa Benki ya NMB, Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Rahma Mwapachu amesema benki hiyo inathamini maadili na urithi wa Nchi hiyo. “Benki ya NMB ina uhusiano mzuri na Ubalozi wa Comoro, tuna matumaini kuwa uhusiano huu utaimarika zaidi na utafungua fursa nyingine” Mgeni rasmi katika hafla hiyo, Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana kwa karibu na Serikali ya Comoro ili kuzidisha uhusiano wa karibu kwa manufaa ya... View original post
إظهار الكل...
Photo unavailableShow in Telegram
إظهار الكل...
00:59
Video unavailableShow in Telegram
TRT Afrika Swahili Maelfu ya Wakenya walihudhuria tamasha katika mji mkuu wa taifa hilo Nairobi siku ya Jumapili, wakiimba kauli mbiu, kucheza na kuwakumbuka watu waliouawa katika maandamano ya hivi majuzi dhidi ya serikali. Takriban watu 39 waliuawa katika maandamano hayo yaliyoanza Juni 18, huku waandamanaji wakishinikiza nyongeza ya ushuru iliyopangwa kufutwa na kujiuzulu kwa Rais William Ruto.
إظهار الكل...
An_8ttX1isT2LcZ5Bh_y6C9dhg3sSHOCU91fa_EILRA_jypPLyeIKxVmEHyh6GD4.mp422.83 MB
08:08
Video unavailableShow in Telegram
@HabariTz ✰✰✰ SALEH JEMBE AMCHAMBUA BEKI MPYA SIMBA?/UBORA WA KUKABA?KUANZISHA MASHAMBULIZI?/MKATABA MIAKA 3
إظهار الكل...
saleh_jembe_amchambua_beki_mpya_simba_ubora_wa_kukaba_kuanzisha_.mp412.55 MB
03:08
Video unavailableShow in Telegram
@HabariTz ✰✰✰ MPYA yaibuka KESI YA DAVIDO na MZAZI MWENZAKE, atajwa kwenye Hati Davido aamua yaishe Tembelea https://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
إظهار الكل...
mpya_yaibuka_kesi_ya_davido_na_mzazi_mwenzake_atajwa_kwenye_hati.mp44.81 MB
02:22
Video unavailableShow in Telegram
@HabariTz ✰✰✰ RAYVANNY alizwa CANADA show yake haijafanyaika aelezea FIGISU aomba RADHI Tembelea https://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
إظهار الكل...
rayvanny_alizwa_canada_show_yake_haijafanyaika_aelezea_figisu_ao.mp44.09 MB
اختر خطة مختلفة

تسمح خطتك الحالية بتحليلات لما لا يزيد عن 5 قنوات. للحصول على المزيد، يُرجى اختيار خطة مختلفة.