3 272
Obunachilar
+1124 soatlar
+767 kunlar
+24530 kunlar
- Kanalning o'sishi
- Post qamrovi
- ER - jalb qilish nisbati
Ma'lumot yuklanmoqda...
Obunachilar o'sish tezligi
Ma'lumot yuklanmoqda...
05:25
Video unavailableShow in Telegram
Azam Sports
NYUNDO TISA ZA KIPRE JUNIOR: Tazama magoli yote tisa (9) ya Kipre Junior wa Azam FC, aliyoyafunga kwenye NBC Premier League msimu wa 2023/24.
Goli lipi lilikufurahisha zaidi?
(Imeandaliwa na Yustina Kibutwa na kuhaririwa na @allymufti_tz )
An8hxeelVgSZNLs14A2lzTabu2HghImS9Qb_2t7oxhoiuM_5MOXO86_yrSTgWacX.mp4121.16 MB
02:49
Video unavailableShow in Telegram
Azam Sports
ODHIAMBO AJIBU KUHUSU USUMBUFU WAKE: “Mchezaji akijisimamia mwenyewe, akijua thamani yake wanaenda wanamgeuka wanasema anasumbua” maneo nyota wa Gor Mahia, Austin Odhiambo akijibu swali la kwamba yeye ni mchezaji msumbufu.
Bidco United 0-2 Gor Mahia (Benson Omala 1’, 5’ P)
Iko LIVE
An9ctpNxIByUrEjheK_V1jJTYpphMLQ3nQXE1pq1cRBQjw_H7hvLEhJMDVNQu4J3.mp437.82 MB
01:03
Video unavailableShow in Telegram
Azam Sports
DAR BOXING DERBY | Wana Kijichi eeeehh!!!! Kwani nyie hamuogopi???
Kimbembe ni Juni 29, LIVE kuanzia saa 1:00 usiku.
4E488252C10D88C2089E4A82D80365B2_video_dashinit.mp410.54 MB
01:27
Video unavailableShow in Telegram
Azam Sports
ODHIAMBO WA GOR MAHIA AFUNGUKA: Nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Austin Odhiambo ameelezea safari yake ya soka ilivyoanza na kujiunga na AFC Leopards, huku akimtaja Boniface Ambani kuwa chachu ya safari yake.
Leo Gor Mahia ipo dimbani kucheza dhidi ya Bidco United na mchezo huo utatumika kwa mabingwa hao mara 21 kukabidhiwa kombe la msimu huu.
Uhondo upo LIVE
An_vIHfpAOxFwTk6o87Ea_pXhJst71sQKSEeN83DH05QtAjrs6s84BJYR_WJ6Z_.mp416.21 MB
Photo unavailableShow in Telegram
Azam Sports
VINARA WA MABAO | Benson Omalla Ochieng ndiye namba 'moko' hadi sasa...na leo ligi inahitimishwa kwa mechi zote tisa....
Wanaomgasigasi kileleni ni Tito Okello na John Mark Makwata ambao nao watakuwa dimbani leo....
Je, unaona nani akiondoka na kiatu cha ufungaji bora kwenye Ligi Kuu ya Kenya!?
Tazama leo kuanzia saa 9:00 alasiri.
Photo unavailableShow in Telegram
Azam Sports
25’ |
Bidco United 0-2 Gor Mahia (Benson Omala 1’, 5’ P)
Iko LIVE
06:24
Video unavailableShow in Telegram
millardayo
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameendelea kutoa msimamo na kusisitiza suala la oparesheni ya kuwakamata Madada Poa lililoanzishwa na DC wa Ubungo, Hassan Bomboko ni zoezi endelevu na kusema litaendelea kufanywa na Wakuu wote wa Wilaya za Dar es salaam ili kukomesha vitendo vya uvunjifu wa maadili Mitaani.
Akiongea leo June 23,2024 Jijini Dar es salaam, Chalamila amesema “Suala la oparesheni za Madada Poa huo ni mwanzo tu litaendelea sana, tumeshapokea malalamiko kutoka kwa Wazazi kwamba Watoto wao wanapokwenda Shuleni wanashuhudia vitu ambavyo ni kinyume na maadili”
“Nimeona baadhi ya Waandishi mnawahoji baadhi ya Watu akiwemo Mjamzito aliyeonesha alikamatwa ghafla akiwa anaingia dukani Sinza Mori akaendelea kumlalamikia DC wa Ubungo, Ndugu zangu Waandishi Sinza Mori ni Kinondoni wala sio Ubungo maana yake unaweza kuona Mwandishi ukipata habari kabla haujazirusha ebu balance story ili usikie upand...
View original post
5D4490790DFBB869A1729FE3027EE09E_video_dashinit_b586.mp434.99 MB
00:30
Video unavailableShow in Telegram
millardayo
Safari yetu jumamosi 29 june ni pale Benjamin Mkapa Stadium kwenye mtanange mkubwa wa soka na burudani kati ya mabingwa wa safari na Yanga
Harmonize atakuwepo kukiwasha Konde Style !
Kata ticket yako kupitia N-Card:
Mzunguko - 3,000
VIP C - 5,000
VIP B - 10,000
@Safarilager_tanzania
#SafariLagerCup
#MabingwaWapyaWaSoka
An_swyyijoJvgN12swStuXUdJdLNq7SAQytJIOwg9R3gxnR8gt28dZ6QtCIf_wz.mp47.63 MB
Photo unavailableShow in Telegram
Photo unavailableShow in Telegram
millardayo
Jeshi la Polisi Tanzania limewahakikishia Wafanyabiashara na Wananchi wote kwa ujumla ambao wanafanya shughuli zao za biashara na kupata mahitaji katika soko la Kariakoo waendelee na shughuli zao kama kawaida bila hofu kwakuwa ulinzi utaimarishwa ipasavyo katika maeneo yote wakati Polisi wakiendelea kuwasaka waliokula njama, kuandaa na kusambaza tangazo la uwepo wa mgomo linalotishia watakaofungua maduka kuwa watakutana na mshale wa jicho.
Taarifa iliyotolewa leo June 23,2024 na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime imesema “Tangu June 22, 2024 kupitia vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kumeonekana tangazo linalosambazwa lenye kichwa cha habari kinachosomeka ‘KUFUNGA BIASHARA ZETU’, tangazo hilo lina ujumbe unaosema ‘Wafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo
mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24,...
View original post
Boshqa reja tanlang
Joriy rejangiz faqat 5 ta kanal uchun analitika imkoniyatini beradi. Ko'proq olish uchun, iltimos, boshqa reja tanlang.