cookie

Ми використовуємо файли cookie для покращення вашого досвіду перегляду. Натиснувши «Прийняти все», ви погоджуєтеся на використання файлів cookie.

avatar

Swahili News

🐾

Більше
Рекламні дописи
3 413
Підписники
+924 години
+607 днів
+31130 днів

Триває завантаження даних...

Приріст підписників

Триває завантаження даних...

01:27
Відео недоступнеДивитись в Telegram
@HabariTz ✰✰✰ Mrengo wa kushoto washinda uchaguzi wa bunge France – DW – 07.07.2024 (1) Muungano wa vyama vya mrengo wa kushoto ulioundwa kabla ya uchaguzi wa mapema wa France umeshinda viti vingi zaidi katika duru ya pili huku chama cha mrengo mkali wa kulia cha National Rally kikiambulia nafasi ya tatu.
Показати все...
mrengo_wa_kushoto_washinda_uchaguzi_wa_bunge_france_dw_07_07.mp426.43 MB
04:24
Відео недоступнеДивитись в Telegram
@HabariTz ✰✰✰ MBOSSO ageuka MBOGO baada ya kuchanwa na MBONGO wa CANADA kuwa yeye na RAY VANNY wamewaletea NYODO Tembelea https://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Показати все...
mbosso_ageuka_mbogo_baada_ya_kuchanwa_na_mbongo_wa_canada_kuwa_y.mp49.39 MB
08:39
Відео недоступнеДивитись в Telegram
@HabariTz ✰✰✰ WACHAWI WEUSI |Episode 41| #fullepisode #viralvideo #clamvevo #episode34 #kobe #cartoon #mpembacomedy #swahilianimation #comedy
Показати все...
wachawi_weusi_episode_41_5dvdfn7j_0w_c834bbb4.mp410.86 MB
millardayo Benki ya NMB (@nmbtanzania) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Comoro ikiwa ni dhamira ya benki hiyo kuongeza kiwango cha biashara kati ya Nchi hizo mbili. Akiongea wakati wa maadhimisho ya miaka 49 ya Uhuru wa Nchi ya Comoros iliyoandaliwa na Ubalozi wa Comoro nchini Tanzania kwa udhamini wa Benki ya NMB, Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Rahma Mwapachu amesema benki hiyo inathamini maadili na urithi wa Nchi hiyo. “Benki ya NMB ina uhusiano mzuri na Ubalozi wa Comoro, tuna matumaini kuwa uhusiano huu utaimarika zaidi na utafungua fursa nyingine” Mgeni rasmi katika hafla hiyo, Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana kwa karibu na Serikali ya Comoro ili kuzidisha uhusiano wa karibu kwa manufaa ya... View original post
Показати все...
Фото недоступнеДивитись в Telegram
Показати все...
00:59
Відео недоступнеДивитись в Telegram
TRT Afrika Swahili Maelfu ya Wakenya walihudhuria tamasha katika mji mkuu wa taifa hilo Nairobi siku ya Jumapili, wakiimba kauli mbiu, kucheza na kuwakumbuka watu waliouawa katika maandamano ya hivi majuzi dhidi ya serikali. Takriban watu 39 waliuawa katika maandamano hayo yaliyoanza Juni 18, huku waandamanaji wakishinikiza nyongeza ya ushuru iliyopangwa kufutwa na kujiuzulu kwa Rais William Ruto.
Показати все...
An_8ttX1isT2LcZ5Bh_y6C9dhg3sSHOCU91fa_EILRA_jypPLyeIKxVmEHyh6GD4.mp422.83 MB
08:08
Відео недоступнеДивитись в Telegram
@HabariTz ✰✰✰ SALEH JEMBE AMCHAMBUA BEKI MPYA SIMBA?/UBORA WA KUKABA?KUANZISHA MASHAMBULIZI?/MKATABA MIAKA 3
Показати все...
saleh_jembe_amchambua_beki_mpya_simba_ubora_wa_kukaba_kuanzisha_.mp412.55 MB
03:08
Відео недоступнеДивитись в Telegram
@HabariTz ✰✰✰ MPYA yaibuka KESI YA DAVIDO na MZAZI MWENZAKE, atajwa kwenye Hati Davido aamua yaishe Tembelea https://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Показати все...
mpya_yaibuka_kesi_ya_davido_na_mzazi_mwenzake_atajwa_kwenye_hati.mp44.81 MB
02:22
Відео недоступнеДивитись в Telegram
@HabariTz ✰✰✰ RAYVANNY alizwa CANADA show yake haijafanyaika aelezea FIGISU aomba RADHI Tembelea https://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Показати все...
rayvanny_alizwa_canada_show_yake_haijafanyaika_aelezea_figisu_ao.mp44.09 MB
Оберіть інший тариф

На вашому тарифі доступна аналітика тільки для 5 каналів. Щоб отримати більше — оберіть інший тариф.