2 811
Подписчики
-224 часа
-237 дней
-14530 день
Архив постов
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Marekani na mataifa mengi ya Ulaya wamekubaliana kuongeza shinikizo dhidi ya Urusi kama njia ya kuilazimisha nchi hiyo kuingia kwenye meza ya mazungumzo ya kumaliza vita nchini Ukraine.
Mwafaka huo umetokana na mazungumzo yaliyofanyika kwenye mkutano wa kundi la G7 uliongia siku yake ya pili hivi leo Jumanne huko Ufaransa.
Rais Volodymyr Zelensky ambaye anashiriki mkutano huo amesema matokeo ya kikao cha viongozi kimeonesha kwa namna gani bado Jumuiya ya Kimataifa inasimama pamoja na nchi yake na kutambuwa nafasi yake zinapohusika juhudi za kumaliza vita hivyo vilivyoanzishwa kwa uvamizi wa Urusi
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Kwa muda mrefu, mijadala kuhusu changamoto za kijamii nchini Afrika Kusini imekuwa ikihusishwa zaidi na wahamiaji, ajira na usalama. Lakini kadiri misuguano inavyozidi kuongezeka, athari zake sasa zimevuka mipaka ya makundi hayo na kuhusisha tasnia ya sanaa, na taswira ya Afrika Kusini kimataifa.
Wasanii, ambao mara nyingi hutazamwa kama mabalozi wa taifa, sasa wanajikuta katikati ya mawimbi ya lawama, hofu na kupungua kwa fursa.
Tazama vidio hii ujionee...
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Mbunge Abdullah Ali Mwinyi ameitaka Serikali kurekebisha mfumo wa kodi ili ufanye kazi kulingana na makundi mbalimbali ya ukumbwa wa kibiashara.
Akichangia mjadala wa bajeti leo Bungeni, amesema kuwa kwa kufanya hivyo kutawezesha Serikali kuvutia kundi la biashara ndogo na za kati kuingia kwenye mfumo wa kodi na hatimaye kuweza kupanua wigo wa walipa kodi nchini.
"Kampuni kubwa kama Vodacom, Barrick mfumo wake wa kodi haupo tofauti na mimi ninayeuza kahawa," amesema Mwinyi.
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Dodoma. Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma amewataka mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuchunga kauli zao ambazo zinaweza kugawa watu kwa kuwa kauli zao zinaweza kutafsiriwa ni za Serikali.
Akizungumza wakati akichangia bajeti kuu ya Serikali Bungeni, Musukuma amesema kuwa wabunge na mawaziri hao wanapaswa kutanguliza Utanzania kwa kutambua umuhimu wa muungano,
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Kaimu Balozi Marekani: Mtandao wa Intaneti Unapaswa Kuwa Wazi na Huru
Akizungumza katika Jukwaa la Ubunifu na Teknologia Afrika lililoandaliwa na taasisi ya Tech & Media Convergency, Kaimu Balozi wa Marekani Andrew Lentz amesisitiza juu ya Intaneti kuwa huru na kueleza changamoto kama za kuzimwa kwa mtandao hugharimu nchi nyingi za Afrika.
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
By Peseo Lao Pio
OPINION: The Swahili word 'ghasia' means chaos in English, but the meaning could never fit more precisely with the current state of democracy across much of East Africa.
It is not that democracy is being murdered by coup or revolution, but rather leaders sworn to protect it have individually and methodically suffocated it. This phenomenon deserves a name: Democracyghasia – a system that has the appearance of democracy but lacks its substance.
Democracy as defined by Abraham Lincoln – government of the people, by the people, and for the people – has been almost gutted and disguised as something completely different. Authoritarianism in East Africa has taken a higher dimension not by eliminating democratic institutions but by militarising them.
The contempt towards constitutionalism was evident when Tanzanian President Samia Suluhu Hassan declared that the constitution was “just a booklet,” with nothing to do...
View original post
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Dodoma. The Speaker of the Tanzania National Assembly has called for the TCRA and the CMSA to appear before the parliamentary Budget Committee. This follows concerns over the failure of telecommunications companies to list their shares on the Dar es Salaam Stock Exchange as required by law.
Speaking on Monday, June 15, 2026, Speaker Mussa Azzan Zungu referred to the Controller and Auditor General (CAG) report, which noted that since the amendment of the Electronic and Postal Communications Act (EPOCA) in 2016, which required non-state-owned network operators to offer 25% of their paid-up capital in shares to the public, only one company has implemented the requirement.
“Up to now, only one company, Vodacom Tanzania, has managed to comply with those legal requirements by selling shares to the public and increasing transparency and accountability within those companies,” Speaker Zungu noted.
“The question that needs to be asked...
View original post
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
By Festo Mulinda
OPINION: Tanzania’s foreign policy has undergone a significant shift in recent years. Increasingly, the country is engaging with a wider range of international partners, moving beyond its traditional reliance on Western allies.
This diversification of diplomatic engagement represents a pragmatic response to the changing dynamics of global politics. The rise of new powers such as China, India, and Russia has altered the international landscape, creating new opportunities and challenges for countries like Tanzania.
President Samia Suluhu Hassan has made several high-profile visits to non-Western capitals, including Moscow and Beijing. These visits signal a willingness to engage with emerging powers and explore new avenues for cooperation.
The visits have sparked debate about Tanzania’s strategic direction. Some observers view these engagements as a necessary adaptation to global realities, whilst others worry...
View original post
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Afisa mmoja wa polisi alipigiwa makofi na kushangiliwa na mashabiki wa Scotland baada ya kuonyesha ustadi wake wa kucheza mpira nje ya tukio la Kombe la Dunia mjini Boston.
-
Video iliyochapishwa na Idara ya Polisi ya Boston siku ya Jumamosi (13 Juni) inaonyesha mashabiki wakisherehea pamoja na afisa huyo baada ya kuwavutia kwa uwezo wake wa kufanya keepy-uppies (kuuchezea mpira hewani bila kuuangusha chini).
-
-
-
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Marekani na Iran wamesaini kwa njia ya kielektroniki hati ya makubaliano inayolenga kumaliza vita. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani, hati hiyo ilisainiwa kwa njia ya mtandaoni na Rais wa Marekani Donald Trump, Makamu wa Rais JD Vance, pamoja na Spika wa Bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf.
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Matangazo ya Mchana: Wakati maambukizi ya Ebola yanaendelea kuongezeka kwa kasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Rwanda imesema itaendelea kubaki salama bila kuripotiwa kisa chochote cha ugonjwa huo.Tangu kuzuka kwa mlipuko huo mashariki mwa DRC, Rwanda imefanikiwa kudumisha hali ya usalama licha ya kupakana kwa karibu na eneo lililoathirika. Waziri wa Afya wa Rwanda, Dokta. Sabin Nsanzimana, amesema mafanikio hayo hayajatokana na bahati, bali ni matokeo ya uwekezaji mkubwa katika mifumo ya kuzuia, kugundua mapema na kukabiliana na mlipuko huo.
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Kombe la Dunia: Leo ni zamu ya Senegal dhidi ya Ufaransa huku Iraq wakiwa kibaruani na Norway. Karata yako unaitupa wapi?
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Nchi wanachama wa kundi la mataifa yenye nguvu za kiuchumi duniani G7 zimeanza mkutano wa siku tatu katika mji wa mapumziko wa Evian-les-Bains, Ufaransa kujadili masuala ya uagizaji bidhaa duniani. Ajenda hiyo inatarajiwa kutawaliwa na vita vya Iran na Ukraine.
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Kombe la Dunia: Cape Verde iliwashangaza wapenda kandanda duniani kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya mabingwa wa Ulaya Uhispania. Katika mchezo golikipa wa Cape Verde Vozinha amezikonga nyoyo za watu kwa umahiri wake aliponyaka michomo ya Uhispania. Kipa huyo amepata zaidi ya wafuasi milioni nne mtandaoni baada tu ya mchezo huo.
2 811
️️➟ @HabariTz ✰✰✰
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba meli zimeanza kupita tena katika Mlango Bahari wa Hormuz na kwamba njia hiyo muhimu ya ya kusafirisha mafuta duniani itakuwa wazi kikamilifu kufikia siku ya Ijumaa mara baada ya Marekani na Iran kufikia makubaliano ya kumaliza vita.
Уже доступно! Исследование Telegram 2025 — ключевые инсайты года 
