1 861
Subscribers
+124 hours
-107 days
-5830 days
Posts Archive
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Watoto wanaopoanza kuhusiana na Wengine hasa katika Mazingira yenye Watu wengi, Mathalani shuleni, baadhi yao huanza kupata Matatizo ya Mfumo wa Hewa yanayojirudia mara kwa mara, hasa Kikohozi na Mafua.
Katika hali hii, Wazazi wanapaswa kufuatilia kwa ukaribu afya ya Mtoto,
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi aliyasema haya kupitia Upendo Media
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Ufafanuzi huu umetolewa na Dkt. Edith Speratus, Daktari wa Binadamu, Mtaalamu wa afya ya Ngozi na Mwanzilishi wa SE Skin Experts.
Unaweza kutazama mahojiano kamili kwenye Chaneli yetu ya YouTube
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema haya leo September 5, 2026 akiweka jiwe la msingi jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi aliyasema haya kupitia Upendo Media
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Sasa wanawake wajawazito wanaweza kujifungua bila kusikia maumivu ya uchungu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH).
Msikilize Dkt. Wilson Lugano Daktari Bingwa wa huduma za usingizi na ganzi tiba wa BMH akifafanua juu ya huduma ya kisasa ya kujifungua bila kusikia maumivu
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Mtaalamu wa Tiba kwa Vitendo, Aika Wilfred amesema haya wakati akizungumza na Veriafya, Septemba 1, 2026. Ufafanuzi kamili unapatikana kwenye chaneli yetu ya YouTube
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Haya yalisemwa na Dkt. Salim Mfungahema, Bingwa wa Magonjwa ya Figo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Julai 1, 2026 kupitia TBC Online
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana imefanikiwa kufanya upasuaji wa kuondoa uvimbe wenye uzito wa takribani kilo 12 kwenye kizazi cha mwanamke mwenye umri wa miaka 23 uliomtesa kwa muda mrefu.
Akizungumza wakati wa upasuaji huo Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Kinamama na Afya ya
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Akizungumza na Veriafya, Aika Wilfred ambaye ni Mtaalamu wa Tiba kwa Vitendo anaeleza kuwa matumizi ya muda mrefu wa skrini (screen time) kama TV au simu husababisha msisimko wa kupindukia wa milango ya fahamu (sensory stimulation) na kuathiri vibaya utulivu, umakini na uwezo wa
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Dkt. Libason Hosea, Bingwa wa Magonjwa ya Masikio, Pua na Koo, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Songea anatoa tahadhari kwa Wazazi na Walezi wanaokata vimeo vya Watoto kutokana na Sababu mbalimbali.
Kitendo hiki ni hatari, kinaweza kusababisha Mtoto akapoteza Maisha hivyo ni muhimu
1 861
π¨βπ« @Jitibu
βοΈ Veriafya
Haya yalisemwa na Dkt. Salim Mfungahema, Bingwa wa Magonjwa ya Figo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Julai 1, 2026 kupitia TBC Online
1 861
Wenye uzito uliopitilizwa waitwa kufanyiwa matibabu
β¦β¦..Kambi maalum inaanza Jumatatu hadi Septemba 11 Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum kufanya upasuaji wa kupunguza uzito kwa kutumia matundu madogo kuanzia Agosti 31 mpaka Septemba 11. Daktari...
https://www.jamhurimedia.co.tz/wenye-uzito-uliopitilizwa-waitwa-kufanyiwa-matibabu/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=wenye-uzito-uliopitilizwa-waitwa-kufanyiwa-matibabu
1 861
π¨βπ« @Jitibu
@Veriafya
β’ [10:09] β Daktari Bingwa Bobezi wa Ngozi, Magonjwa ya Zinaa na Urembo wa Matibabu, Durenay
β’ [07:50] β Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi anaf
β’ [08/29 20:34] β Ufafanuzi huu wa matibabu ya Ugonjwa wa Psoriasis pamoja na tofauti ya muonekano
β’ [08/29 20:24] β Fahamu Chanzo, Dalili na Matibabu ya Ugonjwa wa Psoriasis
1 861
Repost from Swahili News
Taarifa iliyotufikia muda huu ni kwamba huyu dereva hapa pichani, ni mtanzania amepata ajali Nchini Congo na kufariki papo hapo.
Ndugu zake wanamtafuta.
1 861
Fahamu Sababu Zinazofanya Mapera Kuwa Miongoni mwa Matunda Bora
https://telegra.ph/Fahamu-Sa-08-22
