1 853
Suscriptores
-124 horas
-97 días
-4630 días
Archivo de publicaciones
1 853
Dalili za Upungufu wa Testosterone na Suluhisho Asilia Kwa Mwanamke
https://telegra.ph/Dalili-za-09-14
1 853
👨🏫 @Jitibu
Prof. Mohamed Janabi ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika anabainisha kuwa Miaka ya hivi karibuni, Chakula imekuwa ni chanzo kikubwa cha Ini kupata mafuta tofauti na miaka ya zamani ambapo pombe ilikuwa sababu kubwa.
Kupitia Mahojiano yaliyorushwa na Kituo cha TBC, Februari 21, 2024, Prof. Janabi anafafanua pia baadhi ya njia zinazoweza kutumika kuepukana na hali hii.
1 853
👨🏫 @Jitibu
Unajua kuanza kliniki mapema wakati wa ujauzito kunaweza kusaidia kugundua na kudhibiti mapema matatizo ya ujauzito?
Ungana na Dkt. Sophia Kiwanga, Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Hospitali ya Taifa Muhimbili akieleza umuhimu wa kuanza kliniki mapema kwa mama mjamzito.
1 853
👨🏫 @Jitibu
Akizungumza kwenye kipindi cha Medicounter cha UTV ya Azam Media, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto, Faraja kambona kutoka Hospitali ya Epiphany, Mbagala, amesema Dawa nyingi za Kikohozi huwa na Viambata vinavyodidimiza Usafirishwaji wa taarifa za Mfumo wa Fahamu kwenye Ubongo hivyo kuathiri Upumuaji wa Watoto, na mara nyingi zikishindwa kutibu Chanzo halisi cha Kikohozi na ndiyo maana Madaktari wengi huwa hawashauri Matumizi yake
Kitaalamu, Dawa hizi inashauriwa zitumike zaidi kwa Watoto wenye Umri kuanzia Miaka 6 na kuendelea na ameshauri pia Matumizi ya Asali, Tangawizi na Maji ya Uvugu vugu kwa Watoto wenye Umri kuanzia Miaka 2 yanaweza kuwa na Msaada mkubwa.
1 853
👨🏫 @Jitibu
Fahamu chanzo cha watoto wachanga kulia sana usiku na nini ufanye kuwatuliza https://youtu.be/AVvU9YgWGuA?si=z4xHJYLXRUw3Rh2k
1 853
👨🏫 @Jitibu
Fahamu chanzo cha watoto wachanga kulia sana usiku na nini ufanye kuwatuliza https://youtu.be/AVvU9YgWGuA?si=z4xHJYLXRUw3Rh2k
1 853
👨🏫 @Jitibu
Uliwahi kufahamu kwamba hautakiwi kuweka maji Kinywani mara baada ya kupiga Mswaki?
Bingwa wa Kinywa na Meno, Dkt. Deogratias Kilasara wa Hospitali ya Taifa Muhimbili anafafanua Sababu na faida za Kutosukutua mara baada ya kupiga Mswaki.
Video kwa hisani ya Hospitali ya Taifa Muhimbili
1 853
👨🏫 @Jitibu
Fahamu chanzo cha watoto wachanga kulia sana usiku na nini ufanye kuwatuliza https://youtu.be/AVvU9YgWGuA?si=z4xHJYLXRUw3Rh2k
1 853
Repost from N/a
HII HAPA ORODHA VYA VYAKULA VYOTE VYA ALKALINE KWA MUJIBU WA DR. SEBI.
https://fxtwitter.com/Millambo_/status/1704242988992331826
1 853
👨🏫 @Jitibu
Kwa ufafanuzi huu wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi alioutoa Februari 21, 2024 kwenye kituo cha TBC, ni wazi kuwa watu wengi mtaani hawaugui Vidonda vya tumbo bali wanasumbuliwa tu na tatizo la asidi nyingi?
Share nasi, kama umewahi kuambiwa una vidonda vya tumbo, ulipimwa kwa Camera (Endoscopy) au uliambiwa tu kuwa unaumwa vidonda vya tumbo?
1 853
👨🏫 @Jitibu
Kwa ufafanuzi huu wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi alioutoa Februari 21, 2024 kwenye kituo cha TBC, ni wazi kuwa watu wengi mtaani hawaugui Vidonda vya tumbo bali wanasumbuliwa tu na tatizo la asidi nyingi?
Share nasi, kama umewahi kuambiwa una vidonda vya tumbo, ulipimwa kwa Camera (Endoscopy) au uliambiwa tu kuwa unaumwa vidonda vya tumbo?
1 853
👨🏫 @Jitibu
Kwa ufafanuzi huu wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi alioutoa Februari 21, 2024 kwenye kituo cha TBC, ni wazi kuwa watu wengi mtaani hawaugui Vidonda vya tumbo bali wanasumbuliwa tu na tatizo la asidi nyingi?
Share nasi, kama umewahi kuambiwa una vidonda vya tumbo, ulipimwa kwa Camera (Endoscopy) au uliambiwa tu kuwa unaumwa vidonda vya tumbo?
1 853
👨🏫 @Jitibu
Kwa ufafanuzi huu wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi alioutoa Februari 21, 2024 kwenye kituo cha TBC, ni wazi kuwa watu wengi mtaani hawaugui Vidonda vya tumbo bali wanasumbuliwa tu na tatizo la asidi nyingi?
Share nasi, kama umewahi kuambiwa una vidonda vya tumbo, ulipimwa kwa Camera (Endoscopy) au uliambiwa tu kuwa unaumwa vidonda vya tumbo?
1 853
👨🏫 @Jitibu
Kwa ufafanuzi huu wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi alioutoa Februari 21, 2024 kwenye kituo cha TBC, ni wazi kuwa watu wengi mtaani hawaugui Vidonda vya tumbo bali wanasumbuliwa tu na tatizo la asidi nyingi?
Share nasi, kama umewahi kuambiwa una vidonda vya tumbo, ulipimwa kwa Camera (Endoscopy) au uliambiwa tu kuwa unaumwa vidonda vya tumbo?
1 853
👨🏫 @Jitibu
Kwa ufafanuzi huu wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi alioutoa Februari 21, 2024 kwenye kituo cha TBC, ni wazi kuwa watu wengi mtaani hawaugui Vidonda vya tumbo bali wanasumbuliwa tu na tatizo la asidi nyingi?
Share nasi, kama umewahi kuambiwa una vidonda vya tumbo, ulipimwa kwa Camera (Endoscopy) au uliambiwa tu kuwa unaumwa vidonda vya tumbo?
