R.KITCHEN MAPISHI, NA NASAA ZA NDOA
Open in Telegram
Mapishi, Nasaha za ndoa na namna ya kujiunga kwenye madarasa yetu WhatsApp 0754857310 karibu https://wa.me/message/B6DQSZPYNMLXC1
Show moreThe country is not specifiedReligion & Spirituality54 853
1 517
Subscribers
No data24 hours
-37 days
-1330 days
Posts Archive
*🍃🍇1) Kwenda Nyumbani Kwenu Mara Kwa Mara;🍃*
🍃🍇 Umeshaolewa, inawezekana unakaa karibu na kwenu au na ndugu zako, kwakua umeingia kwenye familia mpya una kaupweke flani, hujawazoea au kwakua mume anafanya kazi na wewe upo tu nyumbani unaboeka unaona bora uende kusalimia kwenu, si ni karibu wakati mwingine huna hata haja ya kuomba ruhusa.
🍃🍇Kila wiki uko kwenu, kila ukitoka kazini upitie kumsalimia Mama na Mama naye ukikaa siku mbili tatu utasikia kuwa mbona huji kuniona.
🍃🍇Huwezi amini Dada yangu wanaume wengi wanachukia hii tabia, hata kama hakuambii au haonyeshi kuchukia basi jua kuwa ni mbaya.
🍃🍇 Unapokua unaenda kwenu mara kwa mara inakua ni kama hujaolewa flani hivi.
🍃🍇Unaweza kuona kama kitu cha kawaida lakini unamfanya mume wako ajihisi kama vile anashindana na ndugu zako, kwamba kila wakati unataka kwenda, unaenda peke yako na wala hajui huko unakoenda unaenda kufanya nini?
🍃🍇Hata kama ni kusalimia tu lakini mumeo hajui, kuna mambo mengi ambayo mwanaume atawaza na yote yanamfanya ahisi wewe ni mbinafsi.
🍃🍇Kwanza atawaza kua labda unaenda kuwaambia siri za nyumbani kwenu, anawaza kuwa labda hufurahii ndoa ndiyo maana unaenda kwenu kupumzika, atawaza kuwa wewe ni mbinafsi unawapenda watu wa kwenu kuliko watu wakwao,
🍃🍇mwanaume hatakuamini kwani atahisi kuwa hata siri za kwake unapeleka kwa ndugu zako.
🍃🍇Lakini pia mwanaume atawaza kuwa labda unataka mumkalie, ataona kama unataka kumdharau kwani si kila wakati utaomba ruhusa na hata ukiomba akikuruhusu basi ni kwa shingo upande kwakua hataki maneno.
🍃🍇Ndiyo ni ndugu zako unawapenda lakini kumbuka sasa umeolewa, unahitaji muda na familia yako mpya, kuna kitu gani umekisahau huko, miaka yote hiyo uko nao mbona ulitaka kuolewa.
🍃🍇Kwa wazazi wa zamani wanajua kua mwanamke haendi endi kwao mpaka apelekwe na mume wake, wanajua kua ile kuendaenda inamfanya ajali ndugu zake kuliko ndoa yake.
🍃🍇 Unapaswa kubaki na mume wako kutumia muda mwingi nayeye, sasa wewe unafanya kazi, mume naye anafanya kazi lakini mwisho wa wiki watoto mgongoni unaenda kwa Mama.
🍃🍇Hata kama hufanyi kazi ila mume anafanya mwisho wawiki badala upumzike na mumeo umeenda kwenu, ndugu yangu unavunja ndoa yako na ni wanaume wachache sana ambao huamini wanawake wenye tabia hii kwani huwaona kama hawajali ndoa.
🍃🍇Sasa najua unajiuliza unatakiwa kutembelea kwenu angalau mara ngapi?
🍃🍇Binafsi naamini kama mko karibu sana sana mara moja kwa mwezi au mara moja kila baada ya miezi miwili. Kwanza kuna simu hivyo unajua hali zao, labda kama kuna ugonjwa ila kama ni wazima basi ikizidi sana mara moja kwa mwezi ila wastani ni mara moja kila baada ya miezi miwili.
🍃🍇Narudia mume wako hakuambii tu lakini haipendi hiyo tabia kila siku kwenu!
🍃🍇Unaweza kujiuliza hivi ni kwanini mume wangu hanishirikishi katika mambo yake, hivi ni kwanini anafanya mambo yake kimya kimya, lakini jibu likawa nikwakua tu hakuamini. Unatumia muda mwingi kwenu na unamuonyesha kuwa unawajali ndugu zako kuliko unavyomjali yeye, anaogopa kukushirikisha kwasababu ile kila siku kwenu anahisi labda mnapanga kumfilisi hata kama hana kitu cha kufilisi.
JOIN ME https://t.me/+3QPuf0IavuYyZmFk
*🍃🍇1) Kwenda Nyumbani Kwenu Mara Kwa Mara;🍃*
🍃🍇 Umeshaolewa, inawezekana unakaa karibu na kwenu au na ndugu zako, kwakua umeingia kwenye familia mpya una kaupweke flani, hujawazoea au kwakua mume anafanya kazi na wewe upo tu nyumbani unaboeka unaona bora uende kusalimia kwenu, si ni karibu wakati mwingine huna hata haja ya kuomba ruhusa.
🍃🍇Kila wiki uko kwenu, kila ukitoka kazini upitie kumsalimia Mama na Mama naye ukikaa siku mbili tatu utasikia kuwa mbona huji kuniona.
🍃🍇Huwezi amini Dada yangu wanaume wengi wanachukia hii tabia, hata kama hakuambii au haonyeshi kuchukia basi jua kuwa ni mbaya.
🍃🍇 Unapokua unaenda kwenu mara kwa mara inakua ni kama hujaolewa flani hivi.
🍃🍇Unaweza kuona kama kitu cha kawaida lakini unamfanya mume wako ajihisi kama vile anashindana na ndugu zako, kwamba kila wakati unataka kwenda, unaenda peke yako na wala hajui huko unakoenda unaenda kufanya nini?
🍃🍇Hata kama ni kusalimia tu lakini mumeo hajui, kuna mambo mengi ambayo mwanaume atawaza na yote yanamfanya ahisi wewe ni mbinafsi.
🍃🍇Kwanza atawaza kua labda unaenda kuwaambia siri za nyumbani kwenu, anawaza kuwa labda hufurahii ndoa ndiyo maana unaenda kwenu kupumzika, atawaza kuwa wewe ni mbinafsi unawapenda watu wa kwenu kuliko watu wakwao,
🍃🍇mwanaume hatakuamini kwani atahisi kuwa hata siri za kwake unapeleka kwa ndugu zako.
🍃🍇Lakini pia mwanaume atawaza kuwa labda unataka mumkalie, ataona kama unataka kumdharau kwani si kila wakati utaomba ruhusa na hata ukiomba akikuruhusu basi ni kwa shingo upande kwakua hataki maneno.
🍃🍇Ndiyo ni ndugu zako unawapenda lakini kumbuka sasa umeolewa, unahitaji muda na familia yako mpya, kuna kitu gani umekisahau huko, miaka yote hiyo uko nao mbona ulitaka kuolewa.
🍃🍇Kwa wazazi wa zamani wanajua kua mwanamke haendi endi kwao mpaka apelekwe na mume wake, wanajua kua ile kuendaenda inamfanya ajali ndugu zake kuliko ndoa yake.
🍃🍇 Unapaswa kubaki na mume wako kutumia muda mwingi nayeye, sasa wewe unafanya kazi, mume naye anafanya kazi lakini mwisho wa wiki watoto mgongoni unaenda kwa Mama.
🍃🍇Hata kama hufanyi kazi ila mume anafanya mwisho wawiki badala upumzike na mumeo umeenda kwenu, ndugu yangu unavunja ndoa yako na ni wanaume wachache sana ambao huamini wanawake wenye tabia hii kwani huwaona kama hawajali ndoa.
🍃🍇Sasa najua unajiuliza unatakiwa kutembelea kwenu angalau mara ngapi?
🍃🍇Binafsi naamini kama mko karibu sana sana mara moja kwa mwezi au mara moja kila baada ya miezi miwili. Kwanza kuna simu hivyo unajua hali zao, labda kama kuna ugonjwa ila kama ni wazima basi ikizidi sana mara moja kwa mwezi ila wastani ni mara moja kila baada ya miezi miwili.
🍃🍇Narudia mume wako hakuambii tu lakini haipendi hiyo tabia kila siku kwenu!
🍃🍇Unaweza kujiuliza hivi ni kwanini mume wangu hanishirikishi katika mambo yake, hivi ni kwanini anafanya mambo yake kimya kimya, lakini jibu likawa nikwakua tu hakuamini. Unatumia muda mwingi kwenu na unamuonyesha kuwa unawajali ndugu zako kuliko unavyomjali yeye, anaogopa kukushirikisha kwasababu ile kila siku kwenu anahisi labda mnapanga kumfilisi hata kama hana kitu cha kufilisi.
*MTU ANAPOFUNGA KI TAALAM ANASHAURIWA AFUNGUE KWA KITU CHEPESI NA APATE KITU CHA MOTO KINASAIDIA KUPASHA TUMBO JOTO NA KUREJESHA NGUVU*
*R.Kitchen* inakupa sifa za uji unao takiwa kufungua nao
2.*PIKA UJI WAKO UIVE*
utagundua kama uji umeiva baada ya kuanza kutoa bulbous na pemben ya sufuria kuweka kamba kamba kamba
2.*UWE NI MWEPESI USIWE MZITO SANA.*
hi itamsaidia mnywaji kunywa uji wako kwa urahisi
3. *USIWE NA VIUNGO VINGI VYAKUPOTEZA UHALISIA WA UJI*
kama utaamua kupika uji wa nazi bas viungo kama hiliki au pilipil manga viwe kwa mbali sana ili mnywaji apate radha ya nazi au maziwa
4.*SUKARI IWE YA KUKOLEA VIZURI*
Weka sukari ya kukolea vzri ili isiwe usumbufu kwa mnywaji kuongeza sukari tena pembeni sote tunajua sukari ina madhara bas iweke ichemkie kabisa jikon kidogo kupunguza makari ya madhara.
5 *TAFUTA RECIPE ZAKO NZUR ZA UJI*
Kua na Recep zaid ya moja ili uwe unapika kwa kubadilisha itawafanya wajwaji wasiukinai uji
Bye bye 👋 kipenzi
By jasmin0_wa_r.kitchen
0754857310
*RATIBA YA RAMADHANI YA VYAKULA* 🫕🍜🍝
♦️ *RAMADHANI YA 1* Muhogo samaki
Mikate ya ufuta/ sconse za nyama
Catles za Nyama
Rost la nýama
Wali wa nazi
Mchicha wa nazi
Tambi za Maziwa
Juice
Chai au uji +tende
♦️ *RAMADHANI YA 2*
mikate ya chila
Mbaazi
Chapati
Kachori
Wali wa nazi
Tambi kukaanga
Uji au chai
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 3*
Magimbi
Kababu
Matundatunda (fruits)
Njugu mawe
Chapat
Chips vuruga za Nyama
Wali mweupee
Uji au chai
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 4*
Chapati na
rost la maini
Meat pie
Juice
Harage
Uji au chai
Tende
Juice au smoothie
Wali wa manjano
♦️ *RAMADHANI YA 5*
bajia za kunde na chatne
Ndizi samaki
Shurba
Tambi za nazi
Sambusa
Uji au chai
Tende.
Wali wa MBOGAMBOGA
Makange ya kuku
♦️*RAMADHANI YA 6*
kunde za nazi
Chapati
Vipopoo(vitobosha)
Spring rolls
Matundatunda
Uji au chai
Tende
Wali wa Karoti
Rost ya Nyama
♦️ *RAMADHANI YA 7*
kaimati
Katles
Samaki wa kukaanga
chapati
Makoroni
Uji au chai
Desert ya custard
Tende
Wali wa mauwaa
♦️ *RAMADHANI YA 8*
Tringles
Muhogo
Tambi
Juice
Viazi Karai
Pilau la Nyama
Uji au chai
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 9*
mikate ya ajem na rost la kuku
Katles
Magimbi
Mikate ya maji
Wali wa njegere
Uji au chai
Juice au smoothie
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 10*
ndizi mbivu
Juice
Cheese balls
Maandazi
Mbaazi
Wali wa nazi
Tambi
Uji au chai
Tende
Juice
♦️ *RAMADHANI YA 11*
Mkate wa ajemi
rost la nyama
Bajia za kunde
Wali rost
Uji au chai
Tende
Mboga ya majani
♦️ *RAMADHANI YA 12*
mikate ya maji
Nyama ya kukausha na mboga mboga
Makoroni
Vitumbua
Wali wa jira.
Vatles
Juice
Uji au chai
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 13*
kachori
Shawarma
Viazi(mbatata)
Wali na rost Nyama.
Fruits
Donut
Kaimat
♦️ *RAMADHANI YA 14*
banzi nyama
Chila
Vipopoo(vitobosha)
Maharage
Wali na mchuzi wa samaki wa nazi
Bajia za Dengu na chatney
Uji au chai
Juice
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 15*
mtabak
Katles
Mikate ya ufuta
Samaki wa kukaanga
Magimbi
Wali na choroko
Juice na smoothie
Uji au chai
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 16*
Tambi
SAMBUSA
Fruit
Muhogo
Wali na dengu
Mikate ya maji
Uji au chai
Tende
Juice au smoothie
♦️ *RAMADHANI YA 17*
njugu mawe
Spring rolls
Bajia kunde
chapati
Wali na rost ya firigisi
Juice ya Nanasi na Tangwizi
Uji au chai
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 18*
kababu
Kachori
Skonz na maharage
Makoran
Wali na makange ya samaki
Uji au chai
Juice au smothie
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 19*
kaimati
Ndizi nyama
Nyama ya kukausha
Mikate ya maji.
Wali na njegere za nazi
Uji au chai
Juice
Mboga ya majani
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 20*
eggchop
Chapati
rost la nyama ya kusaga
Tambi
Wali wa Karoti
Uji au chai
Tende
Juice au smoothie
Cake
♦️ *RAMADHANI YA 21*
Smothie
Kababu
Maboga ya nazi
Tambi
Wakubwa njano
Makange ya kuku
Maharage
Uji au chai
Donut
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 22*
Shawarma
Mikate ya bwana
Mbaazi
Maandazi ya ufuta
Wali na maini rost
Uji au chai
Juice au smoothie
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 23*
Matundatunda
Vipopoo(matobosha)
Sambus
Wali wa matunda
Uji au chai
Tende
♦️ *RAMADHANI YA 24*
Kaimati
NDIZI sukari za nazi
Ndizi..nyama.au utumbo
Uji au chai
Tende
Mchicha
♦️ *RAMADHANI YA 25*
bajia kunde na chatne
Pizza
Muhogo.
Samki wa kukaanga
Wali na mahrage
Juice
Uji au chai
Tende
Smoothie
♦️ *RAMADHANI YA 26*
barga
Katles
Magimbi
Tambi
Wali na rost la nyama
Uji au chai
Tende
Juice yyt.
♦️ *RAMADHANI YA 27*
Mikate ya bwana
Nyama ya kukausha
pizza ya kuku
Wali na njegere
Uji au chai
Tende
Smoothie ya Parachichi.
♦️ *RAMADHANI YA 28*
Mtabak
Chila
Makoroni ya Nyama
Wali na mchuzi wa samak
Uji au chai
Tende
Juice ya Embe,passion na Tanagwizi
♦️ *RAMADHANI YA 29*
wali mchuzi
Ndizi utumbo
Sambusa
Tambi
Uji au chai
Tende
Juice au smoothie
Chainise
♦️ *RAMADHANI YA 30*
Maboga
Tambi.
Wali
Maharage
Makange ya nyama
Kachori
Uji au chai
Tende
Juice au smoothie
Mchicha
Karibu darasa la ndoa na mahusiano kwa ada ya Tsh elf 15,000 tu umo utajifunza mengi yanayo husu ndoa na mahusiano nama bi haroos pia sijawasahau njoo upate mafunzo vipi ukaitunze ndoa yako
By jasmin0_wa_r.kitchen
0754 857310
Karibu R.Kitchen mapishi aina zote
0754 857310
ila sifundishi ki1 ki1 vipo kwenye list
Hi vipenzi ifuatayo👇 ni list ya mapishi ninayo fundisha darasan kwangu upande wa vitafunwa😍
Hi ☝️ ni link ya kujiunga na group hili tuma kwa yoyote umpendae❤️
