R.KITCHEN MAPISHI, NA NASAA ZA NDOA
Open in Telegram
Mapishi, Nasaha za ndoa na namna ya kujiunga kwenye madarasa yetu WhatsApp 0754857310 karibu https://wa.me/message/B6DQSZPYNMLXC1
Show moreThe country is not specifiedReligion & Spirituality54 853
1 517
Subscribers
No data24 hours
-37 days
-1330 days
Posts Archive
Kuna mwanafunzi wangu m1 aliomba kusaidiwa dawa ya kutibu Jasho kali akambiwa atumie ivo vitu ndo kaleta mrejesho aya mwenye shida kama iyo dawa iyo
*Waombee dua watoto wako katika siku hizi za Baraka na ujumbe huu uwafikie wazazi wote ili nao wawaombee watoto wao dua.*👇
🤲Yaa Allah! Ninakuita kwa Jina Lako 'Samad', Jina Lako Kuu na Tukufu,
Ewe Kareem Rabb wangu, Rabb wangu, nifanyie Fadhila Maalum, Ahsaan, urekebishe mambo yote yanayohusiana na watoto wangu.
🤲Yaa Allah! Wajalie Barakah na A'fiyah katika maisha yao, katika afya zao na mali zao na katika Utiifu wao wa hiari Kwako ....
🤲Yaa Allah! Geuza udhaifu wao na maradhi yao kuwa nguvu na uwalinde na minong'ono...Wape A'fiyah, usalama kamili na baraka, katika miili yao, katika masikio yao na macho yao, katika kila kiungo, kiungo na misuli....
🤲Na kwa Rehema Zako, Wakinge na kila balaa, dhambi, upotofu na upotovu. Ewe Mwenyezi Mungu! Wafanye watii kwako, wafanye wawe watiifu Kwako, wafanye wawe watiifu kwako.....
🤲Yaa Allah! Nisaidie katika kuwalea kuwa wachamungu, wenye heshima na tabia njema....
🤲Yaa Allah! Wacha wawe chanzo cha Khair na wema kwangu katika ulimwengu wote ....
🤲Yaa Allah! Ninawakabidhi watoto wangu katika Ulinzi Wako, Amana Yako na Amanat.....
🤲Uwalinde na kila balaa, na kila maradhi mabaya.....
🤲Yaa Allah! Walinde kutoka mbele, kutoka nyuma, kutoka kulia na kutoka kushoto, na kutoka juu na chini....
🤲Yaa Allah! Weka mapenzi Yako katika nyoyo za watoto wangu na uwafanye watoto wangu wawe watiifu Kwako na Mtume wako swallallahu alayhi wasallam...
🤲Yaa Allah! Weka upendo wa watoto wangu katika mioyo ya waja Wako. Wacha mioyo yao iwe katika msaada wa watoto wangu kila wakati ...
🤲Yaa Allah! Wape watoto wangu Elimu ya Deeni ambayo inawanufaisha katika duniya na aakhira hii....
🤲Yaa Allah! Wape wanangu Mafanikio na Maqaam ya Juu katika walimwengu wote......
🤲Yaa Allah! Wawezeshe wawe miongoni mwa wachamungu, wamchao Mwenyezi Mungu, wakarimu zaidi, watoa sadaka, wenye kuheshimika zaidi, wajuzi zaidi na washauri wakweli......
🤲Yaa Allah awaweke miongoni mwa wale unaowapenda zaidi. Waongoze katika kila hatua ya maisha yao ili kufanya uamuzi na vitendo vya kupendeza kwako.
Hakika hakuna mlinzi bora kuliko Wewe. Hakuna mwongozo bora kuliko Wewe. Ya rabil alameen uwajaalie rehema zako watoto wetu na vizazi vijavyo.
Ya Hayyu Ya Qayyum bi rahmati ka nastagheeth.
آمین یا ربالعالمین
Amiin, Ya Rabb al-A'lamiyn!
*R.KITCHEN UJASIRIAMALI NA USINDIKAJI*👇
*UTAJIFUNZA KUTENGENEZA*
1.*MAKOPO YA KUHIFAHIA VIUNGO*
2.*BATIKI NA VIJORA*
3.*SABUNI YA MAJI*
4.*SABUNI YA MCHE*
5.*SHAMPOO*
6.*MAFUTA YA KUPAKA KWA LIKA ZOTE*
7.*SABUNI MAARUM YA KUOSHEA MAGARI*
8.*DAWA YA KUONDOA MADOA (JIKI)*
9.*SHOWER GELLY*
10. *MAFUTA YA KUKUZA NYWELE*
11. *MULTIPURPOSE SOAP*
12. *TILES/ SINK CLEANER*
*USINDIKAJI*
Utajifunza
1.*kanuni bora za usindikaji*
2.*Namna ya kuifanya pilipili isiharibike ikae muda mrefu adi mwaka*
4. *pilipili ya karoti*
5.*Pilipili ya mbilimbi*
6.*pilipili ya embe*
7.*pilipili ya parachichi*
8 *pilipili pedwa ya mtaani yaan sweet chill, hot chill na smoked chill sauce*
9.*pilipili za kuuza banda za chips zinazotumia maji*
10.*pilau masala*
11.*Tea masala*
12.*Biriani masala*
13. *Beef masala*
14. *Fish masala*
15.*Curry powder*
16.*Chicken masala*
*Utajifunza kwa vipimo sahihi ili kupata kilicho bora*
*Bei ya kujiunga na darasa hili ni Tsh 50,000 tu*
*Namba ya malipo ni M-Pesa 0754 857310*
Jina *jasmin salum*
*R.KITCHEN UREMBO WA NGOZI NA NYWELE*
*UTAJIFUNZA KUTENGENEZA*
1 *SABUNI YA KUOGEA*
2 *SCRUB*
3 *BODY LOTION*
4 *HAIR FOOD*
*R.SOAP*
Ni sabuni inayo ondoa madoa chunusi vipele,Madoa na harara
Karibu nikufundishe namna ya kutengeneza sabuni hi.
*R. SCRUB*
Ni Scrub inayo ngarisha ngozi kwa kutoa uchafu wote mwilini na ngozi iliochoka kwa jua
Kukufanya uwe mlain soft na mwenye kuvutia.
*R. BODY LOTION*
Ni lotion ya asili yenye kutunza ngozi yako dhidi ya jua.
Inaondoa madoa, chunusi, weusi chini ya macho na kuimarisha afya ya ngozi.
Kwa wale wenye tatizo la kuungua na cream inawafaa sana.
*R.HAIR FOOD*
R.hair food
Softer and healthier hair
suitable for all hair types
*NAMNA YA KUTUNZA,KUKUZA NGOZI NA KUINGARISHA KWA NJIA ZA ASILI*
*MKOROGO WA KUNGARISHA KIZUNGU*
(Kuondoa madoa chunusi na sugu
*RATIBA YA MATUNZO YA NYWELE ZOTE*
*MAFUTA NA PROTEIN TREATMENT.*
*SCRUB NO 2*
*KUONDOA WEUSI WA MAPAJA NA KWAPA*
*KUSAFISHA 🍑 BILA KUPATA VIPELE*
*VITU HUTAKIWI KUPAKA USONI*
*Bei ya kijiunga na darasa letu ni TSh 50,000 tu*
No ya malipo ni M-Pesa *0754857310 jasmin*
*Ukisha fanya malipo njoo inbox WhatsApp na msg ya muamala kwa no iyo iyo karibu*
Masomo yaliopo Sarah la UJASIRIAMALI NA USINDIKAJI UREMBO WA NGOZI NA NYWELE 👇
*R.KITCHEN MAPISHI AINA ZOTE DARASA LA 2023*
*KWA BEI YA ELFU 40,000 TU*
*WALI 2023*
1.🖊️WALI WA NANAS
2.🖊️WALI WA STAR
3.🖊️WALI WA ZUCCHINI
4.🖊️PILAU NO 3
5.🖊️WALI WA DENGU
6.🖊️WALI WA SODA
7.🖊️NDIZI MSHALE KWA UTUMBO
8.🖊️MAKARONI YA NAZI
9.🖊️VIAZI VITAM
*VITOWEO 2023*
1.🖊️CHICKEN 65
2.🖊️CHICKEN BUTTER MASALA
3.🖊️MCHEMSHO WA SAMAKI
4.🖊️NYAMA YA KISWAHILI
5.🖊️KIBAMBALA CHA NAZI
6.🖊️ROST YA KUKU
7.🖊️ LIST YA VIUNGO UNAVYO TAKIWA KUA NAVYO JIKON
*BITES 2023*
1.🖊️SHAWARMA
2.🖊️SOUSAG BREAD
3.🖊️LUTOS CHAPATI
4.🖊️KARANGA ZA MAYAI
5.🖊️VEGETABLE CHAPATI
6.🖊️BAGIA NEW RECEP
7.🖊️ MANDAZI YA NDIZI
8.🖊️MAYAI
9.🖊️SMOOTH DONATS
10.🖊️MIKATE YA CONE
11.🖊️CHAPATI ZA VIAZI
12.🖊️TAMBI ZA NAZI
13.🖊️MIKATE YA BWANA
14.🖊️VIPOCH VYA NYAMA
15.🖊️MKATE WA SOUSAG
16.🖊️VIBIBI
17.🖊️TEA SCONES
18.🖊️HALF-MOON
19.🖊️MANDA ZA SAMBUSA
20.🖊️ ORANGE MUFFINS CAKE
21.🖊️TOAST ZA NYAMA
*R.KITCHEN FLAVOUR 2023*
1.🖊️OREO MILKSHAKE
2.🖊️LUTOS MILKSHAKE
3.🖊️PEANUT BUTTER MILKSHAKE
4.🖊️CHOCOLATE MILKSHAKE
5.🖊️STRAWBERRY MILKSHAKE
6.🖊️COCONUT MILKSHAKE
7.🖊️ PINEAPPLE SMOOTH
8.🖊️PAPAYA SMOOTH
9.🖊️MANGO SMOOTH
10.🖊️CARROT SMOOTH
11.🖊️APPLE SMOOTH
12.🖊️CHOCOLATE SMOOTH
13.🖊️ BARAFU ZA STRAWBERRY
14.🖊️BARAFU ZA NANASI
15.🖊️BARAFU ZA NAZI
16.🖊️BARAFU ZA EMBE
17.🖊️BARAFU ZA MAZIWA
18.🖊️BARAFU ZA CHOCOLATE
*DARASA HILI KUJIUNGA NI ELF 40,000 TU NA DARASA HILI BADO MAPISHI YANAENDELEA*
