π¦ππ ππππ‘ π§πππ π
Open in Telegram
KARIBUNI SANA KWENYE CHANNEL HII HAPA TUNAHUSIKA NA π FREE INTERNET π APP ZILIZOHACKIWA π MOVIES MPYA SERIES NA SINGLE π CORRECT SCORES BURE π TECH UPDATES π MAUJANJA MBALIMBALI π KUPATA PESA ONLINE π PROGRAM ZA PC. πGAMES. YOUTUBE:SAMALEN TV β
Show moreThe country is not specifiedTechnologies & Applications43 315
783
Subscribers
No data24 hours
No data7 days
+230 days
Posts Archive
WEWE CONTENT CREATOR au kama unapost kazi zako mitandaoni usiache kusoma hii
https://www.instagram.com/p/C574nYEs9fh/?igsh=NTdxdDFzaXRmOXVv
Share na kwa mwingine π
WEWE CONTENT CREATOR au kama unapost kazi zako mitandaoni usiache kusoma hii
https://www.instagram.com/p/C574nYEs9fh/?igsh=NTdxdDFzaXRmOXVv
Share na kwa mwingine π
Jipatie simu ya ndoto yako dukani kwetu agiza simu yoyote kwa Bei nafuu kuanzia iPhone 6- IPhone 15 Pro Max βοΈSAMALEN SHOP β
Free Charger & Free EarPhone β
Free Cover & Free Protector β
1-Year Warrant Coverdπ€CASHβ
EXCHANGEβ
TOP^UP βοΈCall/WhatsApp_+255788016006 β³οΈLocation-Arusha
KUTOKA KWENYE VIDEO NILIYOTOA JUZI (SAMALEN TV) views 3.3K+
KESHO MPINGA KRISTO (MASIH DAJJAL) ANAACHWA RASMI-MWISHO UMEKARIBIA
Muda umefika Internet inazima, hutoweza kutumia simu wala mitandao
Haitokuwa milele ila ni siku 3 mpaka miezi mwezi hivi, Tunaweza kuishi na tatizo hili
Tunza maji, tunza chakula giza kubwa linakuja
Kupatwa kwa jua kuna kuja, ni ishara ya kutoka kwa mpinga kristo
Wanajua kinachokuja, wanajua wanachokifanya lakini wanataka tusijue
Wanajua Mungu na Yesu wapo kweli ila wanatupumbaza tupuuzie
Wanajua muda umekwisha, wanajua kila kitu kitaanguka
Ukweli umejidhihirisha lakini tunapuuzia, kila kitu kinatokea na vita nyingi zinakuja hivyo jiandae (weka chakula na maji).
Kwenye katuni ya Simpsons episode 24, imetabiri hili
Jua likipatwa hakutakuwa na umeme, Internet na kila kitu kitaacha kufanya kazi.
Matatizo yatatokea, giza kubwa litatanda.
Ni tarehe 8 ya mwezi wa nne mwaka yaani (kesho).
Maeneo ya siri yatafunikwa kabisa na giza ili kukamilisha utabiri wa biblia kuja kwa mpinga kristo (Ant Christ).
Hii sio conspiracy theory ila ni ishara pekee ya mwisho ambayo inaashiria mwisho wa dunia.
Wanasayansi na elites (kikundi cha siri) wanapinga kimawazo ili kuvuruga watu, lakini wote lengo lao ni moja kupumbaza dunia na watu kutokujua nini kinaendelea.
Ndio maana movie baada ya movie zinatoka, series baada ya series, music baada ya music na zote ni nzuri zinazovutia attention yako.
Ukweli ni kwamba matukio haya yote ya kupatwa kwa jua, kukosa Internet, giza, yote yanahusiana na kuukaribisha ulimwengu wa New World Order, Kumkaribisha Mpinga kristo (Masih Dajjal) na kubadilisha kitu kitu kuongozwa kishetani.
Kwenye Mathayo 12 Yesu anasema "Mtaitafuta ishara hamtaiona isipokuwa ya ishara ya Yona". Tukio la mwaka huu litatokwa kwenye constellation cetus yenye maana ya NYANGUMI ambaye ni mnyama aliyemmeza yona alipokaidi maagizo ya Mungu. Yesu anajaribu kutuambia kitu. HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO anasema Mwishowadunia
Maji ya bahari yatakuwa na rangi nyeusi, viumbe wa ajabu watatoka kwenye maji, vita zitaanza na kabla ya mwisho wa mwaka huu msanii maarufu aliyefariki atajitokea na kusema aliigiza kifo chake. Kila kitu kimepangwa na huyu Shetani, yeye ni mtawala hapa.
Unadhani Mark Zuckerberg kajenga handaki kwa bahati mbaya? Vita kubwa itakwenda kutokea, vitu vya ajabu vitainuka wote tutaona. Movies, katuni, music vyote vinatabiri lakini bado mko mbali na Mungu.
Hili suala linaloenda kutokea ni la kiroho na sio akili, kihisia wala kisayansi. Ukitaka kujua zaidi weka jeuri, kiburi na ujuaji pembeni kwa sababu hivyo haviwezi kukupa ukweli.
Njia ya kuishi kwenye nyakati hizi mbaya, ni kuwa na akiba ya maji ndani, weka lita 5 kwa mtu mmoja kila siku, chakula kisichoharihika, jiko la mkaa, gasi na kuni, tunza chanzo cha mwanga kama mishumaa na tochi, jenerata, mafuta, powerbank, first aid kit, silaha kujilinda, sabuni, sanitizer, toilet paper, tishu.. Kujiandaa ni bora kuliko kusubiria kuona utakavyosurvive.
Baada la giza la muda unaokadiriwa kuwa wa siku 3 - 5, jua litarudi na hicho kipindi kitaitwa "Mwanzo wa kizazi cha dhahabu"
Na hii ni mwanzo wa NEW WORLD ORDERE.
Kumbuka Mungu wako sio bora kuliko Mungu wa mwingine, Dini yako sio Bora kuliko Dini ya mwingine, Huna haki kuzidi mwingine. Mungu ni mmoja tu na yeye ndiye atakayetoa Hukumu.
Fuatilia video kufahamu zaidi
youtu.be/Coy1wZtFDBo
UPATAPO TAARIFA HII SHARE NA KWA WENGINE β οΈ
KWANZA ASANTENI SANA KWA SUBSCRIBERS 6K Kama upo Miongoni Napenda nitoe shukrani zetu za dhati kwako Tunazidi kukusogezea taarifa na updates mbalimbali
GOLI LA YANGA LILILOKATALIWA DHIDI YA MAMELODI LEO 0:0 FT
https://youtu.be/7WVrmSPfca0
KABLA HAKIJATOKEA KINACHOENDA KUTOKEA JUMATATU ANGALIA VIDEO HII
NINI KITATOKEA TAREHE 8/4/2024 !
youtu.be/Coy1wZtFDBo
IMEANGALIWA NA ZAIDI YA WATU 2000+ MWISHO WA DUNIA UMEKARIBIA
New Video now
JINSI YA KU SHARE FILES KWENYE PC KWA IPHONES BILA APP AU SOFTWARE 2024|| NI BURE
youtu.be/dXXSnmxMiao
Watch&Share π
JINSI YA KUILINDA FACEBOOK ACCOUNT YAKO ISIWEKWE PICHA CHAFU | NJIA MPYA 2024
https://youtu.be/PTXFgyaAe5s
Unatamani kujifunza teknolojia kupitia simu yako ??
Una changamoto yoyote ya simu computer au kifaa chochote kinachotumia umeme na huna mtu wa kukushauri jinsi ya kukitengeneza??
Unatamani kujifunza kutengeneza hela online bila kuwa na kipato chochote ni kwa kutumia tu simu yako ya mkononi??
Suluhisho lako lipo hapa SAMALEN TV TECH kutana na wataalamu mbalimbali wanaoifahamu TEKNOLOJIA kiundani kabisa wasilisha mapendekezo yako changamoto na jifunze bure kabisa kupitia group letu Ukipata link hii ni nafasi ya upendeleo usiwe mchoyo msaidie na mwingine aweze kunufaika sote tulijenge taifa moja
Karibuni sana
https://chat.whatsapp.com/HsT7V7ovZgS5bqjsSeAa8D
Upatapo link hii msambazie na mwingine π€
Diamond na Harmonize wakisalimiana, leo kwenye mwaliko wa ftari na Mama Samia.
https://youtu.be/uwVsa2ux7Ss
Hongera sana mdau wangu wa SAMALEN TV Be blessed @SamalenTv VIEWS 200K π₯
SAMALEN TV INAWATAKIA WANAWAKE WOTE DUNIANI HERI YA SIKUKUU ZA WANAWAKE DUNIANI @SamalenTv #Samalentv
Agizo la Raisi: Clip ya Kifo cha Mwinyi βFUTAβ
https://youtu.be/9paS-7qsJQc
IFAHAMU SAA ANAYOVAA RAISI WA TZ YENYE THAMANI YA MILIONI 111 BVLGARI SERPENTI SEDUTTORI GOLD.
https://youtu.be/W464l3VHKOM
JIUNGE NA WANA JAMII WA TECH PALE WHATSAPP KWA URAHISI
https://chat.whatsapp.com/HsT7V7ovZgS5bqjsSeAa8D
JINSI YA KUPATA NAMBA YA NIDA ONLINE KWENYE WEBSITE OFFICIAL YA NIDA
https://services.nida.go.tz/nidportal/get_nin.aspx
@samalentvtech
