cookie

ما از کوکی‌ها برای بهبود تجربه مرور شما استفاده می‌کنیم. با کلیک کردن بر روی «پذیرش همه»، شما با استفاده از کوکی‌ها موافقت می‌کنید.

avatar

Abuu Maysarah' Saalim bin Ramadhaan

Tujifunze elimu sahihi kutoka katika Qur-aan na Sunna kwa ufahamu wa wema waliotangulia.

نمایش بیشتر
پست‌های تبلیغاتی
596
مشترکین
+124 ساعت
+57 روز
+4230 روز

در حال بارگیری داده...

معدل نمو المشتركين

در حال بارگیری داده...

INAPENDEKEZA KUFUNGA SIKU YA TISA PAMOJA NA SIKU YA KUMI -AASHURAA- KATIKA MWEZI WA MUHARRAM NA HEKIMA YAKUFUNGA SIKU HIYO. قال الشيخ ابن عثيمين رحمه الله Amesema Shekh Muhammad Al-Uthaymiin- Allah amrehemu. ينبغي أن يصوم مع عاشوراء تاسوعاء؛ لأنه صلى الله عليه وسلم أمر أن يصام يوما قبله أو يوما بعده مخالفة لليهود لأن يوم عاشوراء يعني اليوم العاشر من محرم هو اليوم الذي أنجى الله فيه موسى وقومه وأغرق فرعون وقومه فكان اليهود يصومونه شكرا لله عز وجل على هذه النعمة العظيمة أن الله أنجى جنده وهزم جند الشيطان، أنجى موسى وقومه وأغرق فرعون وقومه. "Inatakikana -inapendeza- kufungwa pamoja na Aashuraa siku ya tisa, Kwa sababu mtume sala na salamu za Allah ziwe juu yake aliamrisha kufungwa siku moja kabla yake au siku moja baada yake hali ya kwenda kinyume na Mayahudi kwasababu siku ya Aashuraa yani siku ya kumi katika mwezi wa Muharram ndio siku ambayo ndani yake Allah alimuokoa Nabii Muusa na watu wake na akamzamisha kwenye maji Firauni na watu wake. Basi wakawa mayahudi wanaifunga siku hiyo hali yakumshukuru Allah mwenye nguvu na ushindi juu ya neema hiyo uliyokuwa kubwa ya kuwa Allah aliokoa jeshi lake na akaliangamiza jeshi la shetani. Alimuokoa Nabii Musa na watu wake na alimuangamiza kwenye maji Firauni na watu wake" (شرح رياض الصالحين / ج5 / ص304). ✍ Abuu Maysarah' Saalim bin Ramadhaan
نمایش همه...
📚قال الشيخ ابن عثيمين رحمه الله ينبغي أن يصوم مع عاشوراء تاسوعاء؛ لأنه صلى الله عليه وسلم أمر أن يصام يوما قبله أو يوما بعده مخالفة لليهود لأن يوم عاشوراء يعني اليوم العاشر من محرم هو اليوم الذي أنجى الله فيه موسى وقومه وأغرق فرعون وقومه فكان اليهود يصومونه شكرا لله عز وجل على هذه النعمة العظيمة أن الله أنجى جنده وهزم جند الشيطان، أنجى موسى وقومه وأغرق فرعون وقومه. (شرح رياض الصالحين / ج5 / ص304). #قناة_أبي_خالد_الدعوية https://t.me/AbuKhlid3320/51184
نمایش همه...
قناة أبي خالد الدعوية

📚قال الشيخ ابن عثيمين رحمه الله ينبغي أن يصوم مع عاشوراء تاسوعاء؛ لأنه صلى الله عليه وسلم أمر أن يصام يوما قبله أو يوما بعده مخالفة لليهود لأن يوم عاشوراء يعني اليوم العاشر من محرم هو اليوم الذي أنجى الله فيه موسى وقومه وأغرق فرعون وقومه فكان اليهود يصومونه شكرا لله عز وجل على هذه النعمة العظيمة أن الله أنجى جنده وهزم جند الشيطان، أنجى موسى وقومه وأغرق فرعون وقومه. (شرح رياض الصالحين / ج5 / ص304). #قناة_أبي_خالد_الدعوية

https://t.me/AbuKhlid3320/51184

بسم الله الرحمن الرحيم SHAIRI:- HITIMISHO MSIBANI. (KIFO CHA HIZBI) ✍🏽Abuu Maysarah' Saalim bin Ramadhaan. 1- Aqumu anene nani, anene kuzonga wana, shitaki letu Manani, Dua kwake Subuhana, Haghafiliki Dayani, Nuquswani Rabi Hana, Hitimisho msibani, Wote wanaotukana. 2- Nyama zao Ulamaa, Lahamu ni Masumumu, Ole wanaoshangaa, Kifo cha Bini Mwalimu, Umauti alivaa, tangu alipodhulumu, hitimisho msibani, wote wanaotukana. 3- Aqumu aqumu tena, mwingine tutashitaki, Dawa matongo haina, Yupo mlipa wa haki, Wasi hofu wala sina, anayelipa Razaki, hitimisho msibani, wote wanaotukana. 4- Umauti lango njia, na sote tutaupita, Himidini Salafia, Neema Mola katupa, Wakienda hizibia, sie hakuna kujuta, Hitimisho msibani, majuto wende kujuta. ______ ✍🏽Abuu Maysarah' Saalim bin Ramadhaan Alkhamiys 05 Muharram 1446H, 11-07-2024M. والله أعلم
نمایش همه...
Photo unavailableShow in Telegram
#قناة_أبي_خالد_الدعوية https://t.me/AbuKhlid3320/51163
نمایش همه...
Photo unavailableShow in Telegram
#قناة_أبي_خالد_الدعوية https://t.me/AbuKhlid3320/51162
نمایش همه...
📂| قال الشيخ الفاضل عدنان المصقري حفظه الله : |[ والنّياحةُ على المّيت دعوى الجاهلية ]| 📓( الحشد المبين للأدلة النهي عن التشبه بالكافرين صـ ١٠١)
نمایش همه...
SHAIRI: NASAHA KWA JABIRI MWALIMU. MTUNZI: ABUU DARDAA' AMRI BIN HASAN MARKAZ UTHMAAN BIN AFFAAN' BOMANG'OMBE- KILIMANJARO- TANZANIA بسم الله الرحمن الرحيم 1-Kuyarudi matapishi, Ni dalili ya kufeli, Hajuri sio mzushi, Anakwenda na dalili, Jabiri bila ubishi, Hulijui jambo hili, Kidonda nzi haweshi, Unanuka kwelikweli. 2-Umeivua sunna, umekimbilia rai, Mashekhe kuwatukana, Kwa hili sikushangai, Umeyazusha mchana, Wajinga kuwalaghai, Hajuri hakutukana, Usemayo hutambui. 3-Huyu Jabiri kapinda, Vipi mnamuamini!, Maneno anayounda, Hayanasi akilini, Kama njiwa yeye kinda, Hivi atakua lini!, Mwili mzima vidonda, Ameshavunda yaqini. 4-Mtume kujitahidi, Hili mbona lipo wazi, Wahyi huja sipidi, Kosa haliendelezi, Kukuonya inabidi, Kwetu nasaha si kazi, Tatizo u mkaidi, Nasaha husikilizi. 5-Hoja zake ni dhaifu, Akae chini asome, Tena amekosa khofu, Hili wacha tuliseme, Hajuri si mkosefu, Amtukane Mtume, Huyu Jabiri ni mfu, Kwanini msimuhame? 6-Uongo mwingi kazua, Kuidhihirisha chuki, Hajuri kumchafua, Hapa hajatenda haki, Ni lini atatambua, Amuongoze Razaki, Jabiri ulipotea, Mwalimu wa kudhihaki. 7-Hajuri hana adabu! Uko wapi ushahidi, Wala hamna aibu, Kila siku mnanadi, Tena bila ya sababu, Mnafanya makusudi, Kiama kipo karibu, Kurejea inabidi. 8-Jabiri elimu hana, Kiburi kimemjaa, Kurudia yaso mana, Kwa hili namshangaa, Ukweli anaukana, Dalili kuzikataa, Akuongoze Rabana, Nasaha zitakufaa. 9- Nasaha kwako Jabiri, Mwalimu nikuhusie, Haki iliyodhihiri, Yanini uizuie, Dini sio mashairi, Mizani ututungie, Jabiri acha kiburi, Hilo ulizingatie. 10- Ubora sio kunena, Kuzonga wasikizaji, Kuwavurugia tena, Uongo kuvaa taji, Nakukanya ewe mwana, Karima mola mpaji, Wakunyanyua Rabana, Mbora wetu mchaji. JUMAANNE, 16 Dhul-Qaadah 1441 H TAREHE: 07-07-2020. https://t.me/duruuszakiswahiliTZ جزاكم الله خيرا
نمایش همه...
قناة الدروس العلمية السواحيلية

DURUUS KHUTBAH KALIMAAT MIHAADHARA. MASWALI & MAJIBU.

یک طرح متفاوت انتخاب کنید

طرح فعلی شما تنها برای 5 کانال تجزیه و تحلیل را مجاز می کند. برای بیشتر، لطفا یک طرح دیگر انتخاب کنید.