SOMA VITABU TANZANIA📚
رفتن به کانال در Telegram
Karibu kwenye channel ya SOMA VITABU TANZANIA ambapo unapata uchambuzi wa vitabu pamoja na vitabu vilivyochambuliwa Kujiunga ni bure kwa wiki ya kwanza, baadae unalipa elfu 5 (Tsh5,000) kwa mwezi au elfu 50 kwa mwaka. Mawasiliano; 0678 977 007 Karibu.
نمایش بیشترکشور مشخص نشده استدسته بندی مشخص نشده است
418
مشترکین
اطلاعاتی وجود ندارد24 ساعت
اطلاعاتی وجود ندارد7 روز
اطلاعاتی وجود ندارد30 روز
در حال بارگیری داده...
کانالهای مشابه
ابر برچسبها
هیچ دادهای
مشکلی وجود دارد؟ لطفاً صفحه را تازه کنید یا با مدیر پشتیبانی ما تماس بگیرید.
اشارات ورودی و خروجی
---
---
---
---
---
---
جذب مشترکین
دسامبر '24
دسامبر '24
+15
در 0 کانالها
نوامبر '24
+37
در 0 کانالها
Get PRO
اکتبر '24
+53
در 0 کانالها
Get PRO
سپتامبر '24
+54
در 0 کانالها
Get PRO
اوت '240
در 0 کانالها
Get PRO
ژوئیه '240
در 0 کانالها
Get PRO
ژوئن '240
در 0 کانالها
Get PRO
مه '240
در 0 کانالها
Get PRO
آوریل '24
+43
در 0 کانالها
Get PRO
مارس '24
+108
در 0 کانالها
Get PRO
فوریه '24
+341
در 0 کانالها
Get PRO
ژانویه '240
در 0 کانالها
Get PRO
دسامبر '230
در 0 کانالها
Get PRO
نوامبر '230
در 0 کانالها
Get PRO
اکتبر '230
در 0 کانالها
Get PRO
سپتامبر '230
در 0 کانالها
Get PRO
اوت '230
در 0 کانالها
Get PRO
ژوئیه '230
در 0 کانالها
Get PRO
ژوئن '230
در 0 کانالها
Get PRO
مه '230
در 0 کانالها
Get PRO
آوریل '230
در 0 کانالها
Get PRO
مارس '230
در 0 کانالها
Get PRO
فوریه '230
در 0 کانالها
Get PRO
ژانویه '23
+34
در 0 کانالها
Get PRO
دسامبر '22
+80
در 0 کانالها
Get PRO
نوامبر '22
+168
در 0 کانالها
Get PRO
اکتبر '22
+5
در 0 کانالها
Get PRO
سپتامبر '22
+131
در 0 کانالها
Get PRO
اوت '22
+325
در 0 کانالها
| تاریخ | رشد مشترکین | اشارات | کانالها | |
| 21 دسامبر | +3 | |||
| 20 دسامبر | 0 | |||
| 19 دسامبر | +2 | |||
| 18 دسامبر | +2 | |||
| 17 دسامبر | +2 | |||
| 16 دسامبر | +1 |
پستهای کانال
Repost from N/a
UCHAMBUZI WA KITABU; The Ultimate Sales Machine (Mikakati 12 Ya Kufanya Mauzo Makubwa.) Hiki ni moja ya vitabu tunavyotumia kujenga mfumo wa BIT na biashara zetu. Tenga muda wa kutosha na kwa utulivu sana usome uchambuzi huu.
| 2 | Joe_Girards_13_essential_rules_of_selling_how_to_be_a_top_achiever.pdf | 1 163 |
| 3 | Uchambuzi mpya | 1 164 |
| 4 | *KITABU KIPYA; MJASIRIAMALI MJANJA.*
*Rafiki Yangu,*
Karibu sana usome kitabu hiki cha* MJASIRIAMALI MJANJA.*
Ambacho kitakuwezesha wewe kuwa* MJASIRIAMALI MJANJA* na kuweza kupata kila unachotaka kwenye maisha yako.
Tayari una uwezo mkubwa sana ndani yako.
Kilicho baki ni wewe kusoma kitabu hiki ili uweze kuutumia kufanya makubwa zaidi.
Na Habari Njema ni kwamba badala ya $23 leo unakipata kwa Tshs 19,999Tu!.
Tuwasiliane kwa namba *0752977170.*
Kupata kitabu hiki cha* MJASIRIAMALI MJANJA.*
Kina pages* 252.*
KUMBUKA; 19 Wa Kwanza Wanaunganishwa Kwenye Group Maalum.
Karibu Sana Uweze Kuyaborsha Maisha Yako. | 1 182 |
| 5 | UCHAMBUZI_WA_KITABU;_Jeffrey_Gitomer’s_Little_Red_Book_Of_Selling.pdf | 1 687 |
| 6 | The_Little_Red_Book_of_Selling_12_5_Principles_of_Sales_Greatness.pdf | 2 222 |
| 7 | UCHAMBUZI_WA_KITABU;_Jeffrey_Gitomer’s_Little_Red_Book_Of_Selling.pdf | 1 981 |
| 8 | UCHAMBUZI_WA_KITABU;_HOW_TO_SELL_ANYTHING_TO_ANYBODY_Jinsi_Ya_Kuuza.pdf | 2 282 |
| 9 | Joe_Girard_Stanley_H_Brown_Brown,_Joe_Girard_Stanley_H_How_to_Sell.pdf | 2 658 |
| 10 | UCHAMBUZI_WA_KITABU;_HOW_TO_SELL_ANYTHING_TO_ANYBODY_Jinsi_Ya_Kuuza.pdf | 2 810 |
| 11 | UCHAMBUZI_WA_KITABU;_EXACTLY_HOW_TO_SELL_Mwongozo_Wa_Mauzo_Kwa_Wasio.pdf | 2 898 |
| 12 | Mkakati_mkuu_wa_kujenga_mahusiano_mazuri_na_wateja_kwenye_biashara.pdf | 2 596 |
| 13 | Jones,_Phil_M_Exactly_how_to_sell_the_sales_guide_for_non_sales.pdf | 2 126 |
| 14 | UCHAMBUZI_WA_KITABU;_EXACTLY_HOW_TO_SELL_Mwongozo_Wa_Mauzo_Kwa_Wasio.pdf | 2 339 |
| 15 | Ni kwenye muda pekee ndipo penye demokrasia ya kweli duniani.
Ndiyo kitu pekee ambacho wote tumepewa kwa usawa.
Sasa kwa kuwa tumepewa kwa usawa, ila wapo ambao wanafanya makubwa sana kwenye muda huo huo, ina maana kuna vitu wanafanya kwa utofauti.
Na hapo ndipo muda unapokuwa muhimu sana.
Na ndiyo maana muda ni kitu kingine ninachokiamini mno.
Naamini ukitumia muda wako vizuri, utaweza kufanya makubwa kwenye maisha yako.
Kwa yote ambayo nimeweza kufanya, ni kwa sababu nimekuwa nakazana kutumia muda wangu vizuri.
Na siri kuu ya kutumia muda vizuri ni kusema HAPANA kwenye mambo yote ambayo hayana mchango kwenye maisha yako na mafanikio unayotaka.
Kwa mfano, haya ni mambo ambayo nilishasema hapana kwenye maisha yangu na kutokuyafanya kumeokoa muda wangu mwingi.
1. Kufuatilia habari kwa tv, redio, magazeti na vyombo vingine vya habari.
2. Matumizi ya mitandao ya kijamii, sipo kwenye mtandao wowote wa kijamii.
3. Ushabiki wa mchezo wa aina yoyote ile, sifuatilii michezo yoyote.
4. Ulevi na starehe mbalimbali, situmii kilevi chochote.
5. Vikao na shughuli nyingi za kijamii, sihudhurii mambo ambayo siyo muhimu kabisa.
Kwa kusema hapana kwenye hayo, nabaki na muda mwingi ambao naweza kuutumia kwenye mambo yenye tija zaidi.
Rai yangu kwako rafiki yangu ni hii, linda sana muda wako. Tumia neno HAPANA kwa yote yasiyokuwa na mchango kwenye mafanikio unayoyataka.
Tahadhari;
Jamii ina mbinu nyingi sana za kunasa muda wako.
Inakulazimisha ufanye yale ambayo kila mtu anafanya ndiyo uonekane wa kawaida.
Chagua kama unataka kuwa wa kawaida na usifanikiwe.
Au kuwa wa ajabu na ufanikiwe.
Huwezi kufanikiwa bila kuonekana wa ajabu kwenye jamii.
Kwamba hufuatilii habari, haupo kwenye mitandao na hushabikii chochote!
Wengi watakuona una tatizo, ila wao ndiyo wenye tatizo kubwa zaidi.
Rafiki yangu, kutoka ndani ya moyo wangu kabisa hayo ni mambo ninayoyaamini bila ya shaka yoyote ile.
Ninakusihi ujenge imani kubwa kwenye mambo hayo na kuyasimamia kila siku bila ya kutetereka.
Na kwa hakika utaweza kufanya makubwa kwenye maisha yako.
Karibu tuendelee kuwa pamoja kwenye hii safari. Njia za kuendelea kushirikiana ni kama ifuatavyo;
1. Makala za bure kabisa ambazo ni nzuri na zenye manufaa zinaendelea kupatikana kwenye AMKA MTANZANIA; www.amkamtanzania.com
2. Vitabu vizuri vya mafanikio vinapatikana kwenye SOMA VITABU TANZANIA; www.somavitabu.co.tz
3. Chambuzi za vitabu vizuri zinapatikana kwenye channel ya SOMA VITABU TANZANIA; www.t.me/somavitabutanzania
4. Huduma za ukocha zinapatikana kwa uchache sana kwenye KISIMA CHA MAARIFA; www.kisimachamaarifa.co.tz
Karibu rafiki yangu tuambatane pamoja kwenye safari hii ya kuelekea kwenye mafanikio makubwa.
Kutoka kwa rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,
Muuza Matumaini Kocha Dr Makirita Amani. | 2 246 |
| 16 | Usomaji wa vitabu ni kipaumbele cha kwanza kwangu.
Baada ya kugundua akili ni kama tumbo, nilidhamiria kutokuulisha mwili kama sijailisha akili.
Hivyo kabla sijala chakula, lazima kwanza nisome kitabu.
Na hili pia lina ushahidi wa wazi, wa vitabu vingi nilivyosoma na kuchambua vinavyopatikana kwenye channel ya SOMA VITABU TANZANIA (www.t.me/somavitabutanzania)
Ninaamini bila ya shaka yoyote kwamba hakuna tatizo unalopitia sasa kwenye maisha yako ambalo halina suluhisho lililoandikwa kwenye vitabu.
Unachohitaji ni kusoma vitabu sahihi ili kutoka pale ulipokwama sasa.
Wito wangu kwako wewe rafiki yangu ni uamini kwenye maarifa na kama ambavyo unalilisha tumbo lako kila siku, basi pia lisha akili yako chakula chake ambacho ni maarifa.
Na maarifa ninayoeleza hapa ni yale unayopata kupitia kusoma au kusikiliza vitabu.
Makala hazihesabiki, japo zinaweza kuwa na mafunzo mazuri.
Vitu unavyojifunza kwenye mitandao ya kijamii pia havihesabiki.
Fanya vyote kwa kadiri unavyoweza, lakini cha msingi kabisa ni VITABU.
Soma vitabu, sikiliza vitabu.
Kingine muhimu sana kwenye usomaji ni kuchukua hatua.
Haitoshi tu kusoma, unapaswa pia kufanyia kazi yale uliyojifunza.
Tena kuyafanyia kazi yakiwa bado ni ya moto kabisa.
Hivyo unapojifunza kitu kipya kupitia usomaji wa vitabu, kiweke kwenye matendo mara moja.
Kwa njia hiyo kila mara utakuwa na mawazo mazuri na ya kibunifu yatakayokupa manufaa makubwa.
Tahafhari;
Jamii haitakuruhusu usome vitabu.
Itakuhadaa na vipindi vya tv,
Itakunasa kwenye mitandao ya kijamii,
Na itakufanya ubeze maarifa yaliyopo kwenye vitabu kwamba hayafanyi kazi.
Jamii itakuweka bize na mambo yasiyo na tija ili tu usisome vitabu.
Kwa sababu unakuwa rahisi kutawaliwa na kutumiwa kwa manufaa ya wengine kama husomi vitabu.
Ukiiendekeza jamii kwenye hili, utabaki kwenye maisha duni.
3. WATU.
Kwenye safari ya mafanikio, watu wana mchango mkubwa sana.
Lakini siyo watu wote ni sawa na sahihi kwako.
Watu ni jambo jingine ninaloliamini sana kwenye hii safari ya mafanikio.
Na siyo kila aina ya watu, siyo watu wote, bali watu sahihi kwako.
Tukianza na kanuni ya msingi kabisa; maisha yako ni wastani wa maisha ya watu watano unaotumia nao muda wako mwingi.
Hii ni sheria ambayo hakuna mwenye nguvu ya kuivunja.
Wachukue watu watano wa karibu kabisa kwako, wale ambao unatumia nao muda wako mwingi, kisha yaangalie maisha yao na yako.
Utagundua vitu vingi sana mnafanana.
Unadhani hilo limetokea kwa bahati?
Hapana, limetokea kwa makusudi kabisa.
Unakuwa kama wale unaowapa nafasi kwenye maisha yako.
Hivyo jambo muhimu sana la kuzingatia hapa ni kuchagua aina sahihi ya watu wa kuwa nao.
Watu ambao tayari wameshafika kule unakoenda au ndiyo wanaelekea huko.
Watu ambao wana ndoto kubwa na kila siku wanapambana kuzifikia.
Watu ambao siyo wa kukata tamaa.
Watu ambao wanapenda kuona wengine wanafanikiwa.
Zungukwa na watu wasio na sifa hizo na hakuna hatua utapiga.
Utaweka juhudi kubwa sana, lakini utaishia kubaki pale pale ambapo wenzako wapo.
Tunategemeana sana kwenye hii safari ya mafanikio.
Lakini siyo watu wote wanaotufaa.
Hivyo unapaswa kuchagua watu sahihi kwako na kuambatana nao.
Tahadhari;
Jamii imejaa watu wa kawaida ambao hawawezi kupata mafanikio makubwa.
Wengi wa wanaokuzunguka ni wa kawaida sana na hawatapata mafanikio makubwa.
Ni wakati sasa wa kuwabadili watu unaowapa muda wako.
Tafuta watu waliofanikiwa sana au ambao wanapambana kufanikiwa na hao ndiyo unapaswa kutumia nao muda wako mwingi.
Na kama huwezi kupata watu wa aina hiyo, basi tumia muda wako mwingi kwenye vitabu na kazi, ukijifunza ili kuwa bora na kuweka juhudi zaidi kwenye kazi.
Haitachukua muda utaanza kuwavuta watu sahihi kwako.
Utakapoanza kukaa mbali na watu wasio sahihi kwako, hawatakuacha salama.
Watakuambia umebadilika,
Watasema una dharau
Na mengine mengi.
Wapuuze kama unayataka mafanikio.
3.4. MUDA.
Watu wote duniani tuna muda sawa.
Hata mtu tajiri kuliko wote duniani, bado ana masaa 24 kwa siku kama ambavyo masikini wote wanayo. | 1 998 |
| 17 | Makirita 3.4; Mambo 3.4 ninayoyaamini sana kwenye safari ya mafanikio.
Rafiki yangu mpendwa,
Leo ni siku ya kukumbuka kuzaliwa kwangu.
Tarehe 28/05/1988 ndiyo siku ambayo nilizaliwa, hivyo leo tarehe 28/05/2022 nimetimiza miaka 34 ya kuwa hai hapa duniani.
Kwa miaka hiyo michache, nimejifunza mengi sana na pia nimekazana kuwa na mchango kwa wengine kadiri ya uwezo wangu.
Leo hii, katika kumbukizi ya kuzaliwa kwangu nimeona nikushirikishe mambo 3.4 ambayo ninayaamini sana kwenye safari hii ya mafanikio.
Hayo ni mambo ambayo ninayaamini bila ya shaka yoyote na yamekuwa na mchango mkubwa kwa pale nilipofika sasa.
Na ndiyo nitakayoendelea kuyasimamia katika kuziendea ndoto zangu kubwa mbili nilizonazo.
Kabla sijaingia kwenye hayo ninayoamini, nikukumbushe ndoto zangu kubwa mbili ninazozipigania na hatua ninazoendelea nazo.
Nilishaweka wazi na nimekuwa narudia kwamba nina ndoto kubwa mbili kwenye maisha yangu.
Ndoto ya kwanza ni kuwa bilionea (kwa kipimo cha dola) mpaka kufikia mwaka 2030.
Na ndoto ya pili ni kuwa raisi wa Tanzania mwaka 2040.
Maendeleo ya ndoto hizo kubwa mbili ni kwa sasa nipo kwenye mchaka mchaka wa kufikia ubilionea na hilo litasababisha unikose sana.
Ndoto ya uraisi nitaanza kuifanyia kazi baada ya kukamilika kwa ndoto ya ubilionea.
Kwa sasa akili, nguvu, hisia na umakini wangu wote upo kwenye kupambana kufikia ubilionea.
Na ninaamini bila ya shaka yoyote kwamba nitafikia ndoto hizo mbili, maana nitazipambania bila kukata tamaa.
Ni labda nitazifikia au nitakufa nikiwa nazipambania, hakuna mnadala wa hilo.
Baada ya kukukumbusha ndoto hizo mbili na maendeleo yake, sasa twende kwenye mambo 3.4 ambayo ninayaamini sana kwenye hii safari ya mafanikio.
1. KAZI.
Jambo la kwanza ninaloliamini sana kwenye hii safari ya mafanikio ni kazi.
Ninaamini bila ya shaka yoyote kwamba rafiki wa kweli na ambaye hawezi kukusaliti kwa namna yoyote ile ni kazi.
Ipende kazi na kuwa tayari kuweka kazi na itakupa chochote unachotaka kwenye maisha yako.
Sisemi haya kwa kubahatisha, bali kwa sababu ni utayari wangu wa kuweka kazi kwa juhudi kubwa ndiyo umenifikisha hapa nilipo.
Nikupe mfano mdogo ambao ushahidi wake upo wazi.
Tangu tarehe 01/01/2015 niliamua kwamba nitakuwa naandika kila siku bila ya kuacha.
Mpaka kufika leo ni siku 2705 za kuandika kila siku bila kuacha.
Na kielelezo kipo kwenye makala za kurasa kwenye KISIMA CHA MAARIFA, zipo kwa mlolongo wa namba.
Sijaweza kufanya hilo kwa sababu kila siku nilikuwa najisikia kuandika. Kuna siku ambazo sikuwa najisikia kabisa kuandika.
Lakini kwa kuwa naamini sana kwenye kazi, sikuwa na namna bali kuandika.
Hiyo ni sehemu ndogo sana ya kazi ninayoweka kila siku, lakini inakufanya uelewe kile ninachosema ni nini.
Ninachotaka kwako rafiki yangu ni ujenge imani kubwa kwenye kazi.
Ipende sana kazi.
Weka juhudi kubwa kwenye kazi.
Na kazi haitakutupa,
Kazi itakulipa.
Waruhusu watu wakuzidi akili, elimu, fedha, koneksheni na hata vipaji.
Lakini kamwe kamwe usimruhusu mtu yeyote akuzidi kwenye kazi.
Kwa chochote unachofanya, hakikisha unajijengea sifa (kwa vitendo na siyo maneno) kama mtu unayeweka juhudi kubwa kwenye kazi kuliko watu wengine wote.
Fanya hivyo na utashangaa jinsi fursa nzuri zitakavyokuja kwako.
Tahadhari;
Nilichokuambia hapa kuhusu kazi kinaenda kinyume kabisa na jinsi jamii inavyokuambia kuhusu kazi.
Jamii inakuhadaa usifanye kazi sana.
Inakuambia kuna njia za mkato.
Inakuambia usifanye kazi kwa nguvu na juhudi, bali kwa akili tu.
Huo wote ni ulaghai na kama utausikiliza rafiki yangu, maisha yako yataendelea kuwa magumu na hautafanikiwa.
2. MAARIFA.
Maarifa ni jambo jingine muhimu sana ninaloliamini kwenye hii safari ya mafanikio.
Ni maarifa ndiyo yaliweza kubadili kabisa mtazamo wangu kuhusu maisha na mafanikio tangu mwaka 2012.
Na tangu kipindi hicho nimesoma na kusikiliza vitabu zaidi ya elfu moja.
Ndiyo, vitabu zaidi ya elfu moja.
Kila mtazamo nilionao leo, kila ninachojua leo, havitokani na akili zangu, bali vinatokana na maarifa mengi ambayo nimekuwa nayakusanya kila siku. | 1 635 |
| 18 | 9. Maarifa unayopata kupitia usomaji yatakufanya uwe bora kabisa wewe binafsi.
10. Maarifa hayo pia yatakuwezesha kupata mafanikio makubwa kwenye maisha yako.
Rafiki yangu mpendwa, manufaa hayo makubwa, pamoja na mengine mengi unakwenda kuyapata ndani ya programu ya TUSOME PAMOJA DAILY.
Na habari njema kabisa kwako wewe rafiki yangu ni kwamba, unakwenda kuyapata manufaa hayo makubwa kwa kuchangia kiasi cha TSHS 9,900/= TU Kwa Mwezi.
Yaani kwa siku 30 za mwezi ambazo unanufaika na programu hiyo nzuri, unachangia kiasi cha shilingi elfu tisa na mia tisa.
Hiyo ni sawa na kuchangia shilingi mia tatu na thelathini kwa siku.
Swali kwako rafiki yangu, je utakubali ukose manufaa hayo makubwa sana ya programu ya TUSOME PAMOJA DAILY kwa kuepuka gharama ndogo ya mia tatu?
Siamini hilo linaweza kutokea kwako.
Hivyo basi, fungua kiungo hiki kinachofuata hapa na moja kwa moja ujiunge kwenye kundi la programu ya TUSOME PAMOJA DAILY.
Kiungo; https://chat.whatsapp.com/DzhhSAEeSUaGXdrsOrxLrK
Kwa maelezo zaidi wasiliana na namba 0752 977 170 sasa.
Rafiki, programu inakwenda kuanza rasmi tarehe 01/06/2022.
Lakini unapaswa kujiunga mapema ili kujihakikishia nafasi yako.
Kutokana na ufuatiliaji mkubwa tunaokwenda kufanya kwa washiriki wa programu hii, nafasi zitakuwa chache sana.
Hivyo chukua hatua sasa ili usikose nafasi hii adimu.
Fungua sasa link; https://chat.whatsapp.com/DzhhSAEeSUaGXdrsOrxLrK na ujiunge kwenye kundi la programu ya TUSOME PAMOJA DAILY.
Rafiki, nikimalizia na kauli nyingine ya aliyekuwa raisi mwingine wa Marekani, Richard Nixon aliyewahi kusema; “Tabia moja ambayo viongozi wote wanayo ni usomaji. Usomaji siyo tu unakuza akili, bali pia unaupa ubongo mazoezi. Vijana wa leo ambao wanatumia muda wao mwingi kuangalia TV hawawezi kuwa viongozi wazuri wa kesho.”
Unazidi kuona msisitizo hapo rafiki yangu, kama unataka kufanya makubwa, hakuna namna unaweza kukwepa usomaji.
Na ndiyo maana nakukaribisha sana kwenye programu ya TUSOME PAMOJA DAILY.
Ungana na viongozi wenzako tusome kwa pamoja.
Fungua hapa kujiunga; https://chat.whatsapp.com/DzhhSAEeSUaGXdrsOrxLrK
Kutoka kwa rafiki yako anayekupenda na kukujali sana,
Muuza Matumaini Kocha Dr Makirita Amani. | 1 550 |
| 19 | Tusome Pamoja Daily; Karibu tusome pamoja kwa mafanikio yako.
Rafiki yangu mpendwa,
Aliyewahi kuwa raisi wa Marekani Harry Truman, aliwahi kunukuliwa akisema; "Siyo wasomaji wote ni viongozi, lakini viongozi wote ni wasomaji."
Hilo linaweza kusemwa kwenye maeneo mengine yote ya maisha, kuanzia mafanikio, fedha, mahusiano na hata furaha.
Kwa kifupi ni kwamba japo siyo wasomaji wote ni watu waliofanikiwa, lakini watu wote waliofanikiwa ni wasomaji.
Swali kwako rafiki yangu mpendwa, je umejiweka upande gani?
Je umejiweka upande wa wasomaji ambapo unakuwa na nafasi kubwa ya kufanikiwa kwenye maisha?
Au umejiweka upande ambao siyo wa wasomaji na hivyo kujizuia kabisa kufanikiwa?
Rafiki, unasoma hapa kwa sababu unataka mafanikio makubwa kwenye maisha yako.
Na neno moja nililo nalo kwako kama rafiki yako ni hili, kuwa msomaji.
Na siyo tu msomaji, bali msomaji wa vitabu.
Iko hivi rafiki, chochote unachotaka kujua ili uweze kufanikiwa, tayari kimeandikwa kwenye kitabu fulani.
Kitu kimoja ninachoweza kukuhakikishia ni kwamba hakuna chochote unachohitaji kujua ili ufanikiwe ambacho huwezi kukipata kwenye vitabu.
Sikuambii hayo kwa kubahatisha, bali kwa uhakika na kwa uzoefu.
Kwa sababu kwa hatua zote nilizopiga kwenye maisha yangu mpaka hapa nilipofika sasa, mchango mkubwa kabisa umetokana na usomaji wa vitabu.
Najua unakubaliana na mimi kwenye haya, lakini ndani yako unajikumbusha jinsi ambavyo umekuwa unadhamiria sana kusoma vitabu ila unakwama.
Unapanga kabisa kwamba usome kitabu, unaanza na kukisoma, lakini hufiki mbali. Unaishia kupotezwa na usumbufu mbalimbali unaokuzunguka.
Mimi kama rafiki yako naijua sana hiyo changamoto, nimeipitia na kuweza kuivuka.
Na kwa sababu nakujali sana kama rafiki yangu, nimekuandalia njia bora ya kuweza kuvuka changamoto hiyo pia.
Nimekuandalia njia ambayo itakuwezesha kusoma vitabu, kuvielewa kwa kina na kuyafanyia kazi yale unayojifunza.
Njia hiyo ni programu maalumu ya usomaji inayoitwa TUSOME PAMOJA DAILY.
Hii ni programu ya kundi la wasap ambapo wanachama kwa pamoja wanashirikiana kusoma.
Kila mmoja anashirikisha kile alichosoma kwenye siku yake na aliyojifunza.
Programu hiyo ya kipekee ina nguvu kubwa mbili;
Nguvu ya kwanza ni kuzungukwa na watu sahihi.
Unakuwa kwenye kundi la wasomaji wenzako kitu ambacho kinakupa msukumo wa kusoma zaidi.
Unapoona wenzako wanasoma na kushirikisha, wewe pia utasukumwa kusoma na kushirikisha.
Nguvu ya pili ni ya kuwepo kwa mtu anayekufuatilia kwa karibu katika usomaji wako.
Kuna nyakati utakutana na changamoto na vikwazo mbalimbali vinavyoathiri usomaji wako.
Katika nyakati kama hizo ndipo hatari kubwa ya kuacha kusoma ilipo.
Lakini kwa kuwa kwenye programu hii, unafuatiliwa kwa karibu na Kocha ili uweze kuendelea na safari ya usomaji.
Rafiki, sijui nikuambieje lakini ukweli ni kwamba mwarobaini wa tatizo lako la usomaji sasa umepatikana.
Chagua sasa kujiunga na programu ya TUSOME PAMOJA DAILY ili ujijengee tabia ya kujisomea kila siku na uweze kujenga mafanikio makubwa kwenye maisha yako.
Manufaa makubwa ya kuwa kwenye programu ya TUSOME PAMOJA DAILY.
Kuna manufaa mengi sana ya kuwa kwenye programu mpya ya TUSOME PAMOJA DAILY.
Haya 10 ni ya uhakika kabisa ambayo unakwenda kunufaika nayo;
1. Kuweza kusoma na kukamilisha angalau kitabu kimoja kwa mwezi. Hapo ni zaidi ya vitabu 10 kwa mwaka, idadi ambayo wengi sana hawaifikii.
2. Kushauriwa na kuchaguliwa vitabu vizuri vya kusoma kulingana na hali yako.
3. Kujifunza kupitia usomaji wa wengine, hivyo wakati unasoma kitabu ulichochagua, unaendelea kujifunza kupitia vitabu wanavyosoma wengine.
4. Kusimamiwa kwa karibu kwenye usomaji wako ili chochote kisikurudishe nyuma.
5. Kuendelea kupata mafunzo na hamasa ya umuhimu wa kusoma na jinsi ya kusoma kwa manufaa.
6. Kupata chambuzi za vitabu vingi na vizuri kwa lugha rahisi ya Kiswahili.
7. Kutafutiwa na kutumiwa kitabu chochote kile unachotaka. Hapa utachangia gharama ya kununua na kutumiwa kitabu ulipo.
8. Kupata ufumbuzi na suluhisho la changamoto zozote zinazoathiri usomaji wako. | 1 506 |
| 20 | UCHAMBUZI_WA_KITABU;_Sell_Like_Crazy_Mbinu_za_kupata_wateja_wengi.pdf | 1 390 |
